Kama watu wanakumbuka haya yakitabiriwa awali na CDM wakisema Mbatia ni CCM B sasa hayo Nape ameyathibitisha japo Mbatia na chama chake walikana....Maneno ya CDM yametiliwa sahihi na Nape.... CDM udumu
Neno Halmashauri ndio limekuchanganya...! Pole..! Ila kulinganisha Moshi na Iringa sio kabisa. Kwani Moshi iliendelea kimiundo mbinu, kielimu toka ebz za mkoloni na hawakuwapinga na hivyo maendeleo yalianza kitambo ila Iringa walipigana na mkoloni na hivyo kukawa hakuna mazingira rafk kwa...
Mimi nimeajiriwa na serikali naye huko alipo yupo kwenye sector inayomlipa vizur..... ndio maana imekuwa shughuli kufuatana. Moto unawaka moyoni sielewi cha kufanya
Wanajamvi msaada
Nina mpenz wangu tumedumu naye muda mrefu (miala minne) mpaka baadhi ya ndugu zake wananifahamu. Tatizo la mchumba wangu huyu anasema hawez kuvumilia mapenz ya kukaa mbali kwani fimbo ya mbali haiui nyoka. Nimechanganyikiwa mno kwani tunakaa mikoa ya mbalimbali mpaka nimfikie...
Wewe nilijua lazima urespond hivi, vile tena hayupo CCM.....! Mpaka nimekariri...... nina maswali mengi kuhusu fikra zako. Wewe kama hutak kuiona waweza ipotezea si kuwaamuru mods kuifuta
Habari Mabibi na Mabwana. Mu hali gani?
Naomba nilete uzi huu kwenu. Jamani sijui nina matatizo gani...nikitembea umbali kidogo najikuta miguu imechafuka vumbi, viatu usiseme, suruali duuuh. Jamani nifanyeje hali hii! Nataka kuwa smart. Hata nikinyata vp vumbi haliniachi. Help please. Si mzaha..!
Nisiwachoshe. Moja kwa moja kwenye mada
Mpenz wako msichana anakuambia sipo sawa wiki hii na siwez kukuambia kwa nini. Nipe week moja niwaze nambo yangu. WanaJf ni wazo gani la kwanza litakujia kichwani na ni hatua zipi utachukua. Najua nyie ni washaur wazur nisaidieni ili nisikurupuke kwenye...
Wewe unaona majibu na matuc wanayotukana.... if you are good analyst orodhesha pia wanayotukanwa nao.... tuanalyse. ! Think critical... nishakunyima tabia yako ya kukurupuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.