Recent content by Yule boy 001

  1. Y

    Bustani ya Edeni ipo wapi?

    Msaada wa Google map, wakuu ikiwezekna 🙏
  2. Y

    Bustani ya Edeni ipo wapi?

    Wakuu habarini. Niliwahi niliwahi kusoma uzi mmoja humu ndani, unaohusu bustani ya Eden lakini nimejarbu kuutafuta nmekosa. Naombenii mnisaidie kulingana na History, ni mahali gani hapa duniani panapokisiwa kuwa bustani ya Eden ilikuwepo, ambayo inasemekana ina sifa ya kuelea angani. Naomba...
  3. Y

    Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

    Hapana mkuu naulizia tu ,sijawah kutumia nataka nijarbu ,ila nikishafahm athar zake
  4. Y

    Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

    Kuna madhara gani boss, nijulishee ili kijana mwenzako nijipange nikajenge Tanzania ya viwandaa
  5. Y

    Tuelezane uzuri, ubaya, faida na hasara za utumiaji wa 'Vumbi la Mkongo'

    Wakuu habarini. Nina omba kufahamishwa madhara yatokanayo na kutumia vumbi, madhara ya muda mrefu na yanayojitokeza ndani ya muda mfupi. Niko njia panda wakuu, nahitaji niagize mzigoo hapa kwa mwana mmoja aniletee. Sasa nahitaji nifahamishwe haya madhara nisije nikatumia halfu badae kazi...
  6. Y

    Hivi itakuwaje siku Messi na Ronaldo wakachezea timu moja?

    Dah umeongeaa point bro ,,, yan mi nlicheza dream league 17 lakini sikuwah kuwaonaa japo walkuw timu moja
  7. Y

    Movies: Nimeamua kukesha leo nipakue movie, wakuu naomba movie zile latest kali nianze nazo kwa usiku wa leo

    Huwa natumia PC kupakua ila nacconect hotspot kweny simu ,,, spid yake intgemea simu kam smu n 4G hapoo itkmbizaa ,,pia 3G .. ila mi kwa sehemu nlipo naona iko fresh nkiplan kukesha kupakua movie minimum ni movie 8 hv na zote zina range kweny 1GB size
  8. Y

    Movies: Nimeamua kukesha leo nipakue movie, wakuu naomba movie zile latest kali nianze nazo kwa usiku wa leo

    N Natumia halotel bando la usiku from 6p.m-12a.m , internet bila kikomo kwa 1500/= ,mkuu
  9. Y

    Msaada WaKuu, Naomba ambae anafahamu app yoyote kuangalizia mechi/games zozote online anisaidie au website

    Kwemaa ,wakuu .. Naomba msaada nahitaji application au website za kuangalizia mechi online, maana nipo sehemu ambayo hakuw uinyeshaji wa mpira, kwa week kadhaa nmekuwa namiss bundesliga Ila leo nimepania nisikose game Uzi tayari, nawasilisha
Back
Top Bottom