Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,750
- 3,688
Raha ya tendo kumwaga mkuu, muda fulani nashindwa kufika kabisaDah sasa mimi ningekuwa kama wewe si ningeshukuru mkuu!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Raha ya tendo kumwaga mkuu, muda fulani nashindwa kufika kabisaDah sasa mimi ningekuwa kama wewe si ningeshukuru mkuu!!!
Angalau hilo tatizo kuna mbinu nyingi za kulikabili. Mimi hii shida hata sijui nifanyeje mkuuDah ningekua na uwezo tungebadilishana mboo mkuuKumwaga mapema ni bonge la aibu kaka yasikukute omba
Njia zinazotumika kwa wanaowahi wewe zifanye kinyume chake nafikiri inaweza kuwa solution kwa namna moja ama nyingine..Angalau hilo tatizo kuna mbinu nyingi za kulikabili. Mimi hii shida hata sijui nifanyeje mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama kuna kinyume chake mkuu, labda kutotumia hizo njiaNjia zinazotumika kwa wamaowahi wewe zifanye kinyume chake nafikiri inaweza kuwa solution kwa namna moja ama nyingine..
Aaa aaaaa aaaa, Mkuu @Bwanamisitu pole sana, unatia huruma yaani nakuona vile unavyopata maumivu moyoni, pole mtu wangu. Nilikua nasoma tuu comment na kupita ila niliposoma hii comment ya kwako nimehuzinika sana.Nikweli kabisa mkuu mimi nadhani watu hawafikirii adha na kejeli tunazokutana nazo kwa hawa wake zetu..
Just imagine umeoa then tangu uoe mwanamke hajawahi kufurahia mchezo unafikiri aibu gani unapata...
Maji kunywa sana maji... kabla ya mechi... na mzuri zaidi ni yale ya kawaida ..sio baridi ya friji !Vipi umechukua hatua gani ndugu yangu.
Hebu tujadiliane kwanza..
Ndugu hapo ndo kila siku nawaza mpaka nalia nakosea au nakwama wapi mimi.. Yan najitahidi kuwa normal ninapokua faragha lakini wapi sijui nina nini mzee wangu..
Dah kwanza naomba nikushukuru sana kiongozi wangu kwa kuguswa na hii changamoto yangu, hii inaonyesha ni namna gani ambavyo wanaume tunathaminiana.Aaa aaaaa aaaa, Mkuu @Bwanamisitu pole sana, unatia huruma yaani nakuona vile unavyopata maumivu moyoni, pole mtu wangu. Nilikua nasoma tuu comment na kupita ila niliposoma hii comment ya kwako nimehuzinika sana...
Ni kweli mkuu, Wala sikupingi katika hili hii idea ya kutumia hilo jambo nimeshaweka kapuni siwezi kujaribuFanya mazoezi dogo, hili vumbi la mkongo la siku hizi limeshaingiliwa na wahuni kwani wengi wanachanganya na kinyesi cha binadamu au wanyama pori, matokeo yake inakuvunja nguvu za kiume na kuwa shoga....shauri yako. Fanya mazoezi kwa bidii upate nguvu na kuweka mwili sawa.
Unapokuwa kwenye gemu...usiirembe sana..maana wewe hisia zako zipo karibu... ..bandua..mapema mapema...sio unaitazamaa...mpaka jamaa..anasizi!Ni kweli yote yanawezekana mkuu ila ninaimani this time nita improve, mmejitahidi kunipa shauri tofauti naamini nitazifanyia kazi. Matokeo nitayaona nasubiri mfungo upite nianze taratibu zote.
Ushawahi kuitumia au umekutana nayo wapi mkuu??Halafu nasikia kuna vicks pia ya kutoka kongo, hii nayo ikoje wakuu
Stay home, stay safe
Corona kills
Acha ujinga na kutisha watu wewe. Vumbi la congo bei ni 5000 hadi 10000. Unajua bei ya gram 1 ya cocaine au heroine wewe? Yani mtu achanganye madawa hayo halafu still uuziwe bei rahisi. Vumbi linafanya kazi ila wengi hatujui madhara yake (potelea mbali)
N.B: mtumiaji mzoefu wa vumbi
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaKwa anayehitaji vumbi anitumie no. ake PM then tufanye biashara, kama upo dsm ntakupa kidogo bure ukaijaribu
Kuna madhara gani boss, nijulishee ili kijana mwenzako nijipange nikajenge Tanzania ya viwandaaWE ENDELEA TU KUTUMIA MKUU KUPANGA NI KUCHAGUA