Bustani ya Edeni ipo wapi?

Yap!!! That's a fact!!!

Katikati ya mto ngono na mto Kanoni. Obvious itakua karibu na gurio la KATERERO kama sio pale Kashai, Amugembe Tamirooooooooooo
Wengine wanasema ipo Bukoba nchini Tanzania; mbona mnachanganya watu?
 
Hapa ndio huwa nacheka.Bustani lazima iwe green area, sehemu mvua nyingi nk.cha ajabu bustani ipo jangwani badala ya Afrika,.Kwa kuwa waliotuletea dini wapo huko lazima waandike bustani ipo huko lakini jiografia ya kisasa inakataa.
so ilipaswa kuwa DRC?? mana ndo kuna mapori ya EQUATORIAL na mvua za mara kwa mara?? kumbuka mambo haya yalitokeaga miaka mingi kabla ya mabadiliko ya tabia nchi, kama umesoma jiografia utanielewa
 
so ilipaswa kuwa DRC?? mana ndo kuna mapori ya EQUATORIAL na mvua za mara kwa mara?? kumbuka mambo haya yalitokeaga miaka mingi kabla ya mabadiliko ya tabia nchi, kama umesoma jiografia utanielewa[/QUOTE Powa mkuu
 
Wakuu habarini.

Niliwahi niliwahi kusoma uzi mmoja humu ndani, unaohusu bustani ya Eden lakini nimejarbu kuutafuta nmekosa.

Naombenii mnisaidie kulingana na History, ni mahali gani hapa duniani panapokisiwa kuwa bustani ya Eden ilikuwepo, ambayo inasemekana ina sifa ya kuelea angani.

Naomba kuwasilisha wakuu. Asanteni.

Msaada wenu tafadhalii, tujuzane.
 
Ki nadharia, bustani ya eden ni ulimwengu wote, ndiyo maana hata kwenye Biblia imeandika nanukuu kutoka katika kitabu cha mwanzo "Mungu aliumba mbingu na nchi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom