Huyo mdada ana sababu 2.
1.Eidha humlzsh.
2.Kuna m2 anampa v2 muhm sana kama fedha nk.
Hii ni kawaida,hata mi pia nna mdada wa hv.
Alikuwaga, akaniomba 2achane ila 2na chart,2natoka out,anantembelea ghtto ila hatak nim-do.
Kabla nlidhan hana hica-labda kakeketwa,badae nikagundua ana mbaba...