Hapa mtoa mada anaroho ya kichawi samahan lkn kwa kusema hvyo....
Kwann unadoubt mafanikio ya mwenzio....
Whatever happens ni mipango ya M/Mungu...
Na kama ni kweli pkpk yako baki nayo kama nikukuvunja miguu ikuvunje mwenyewe...
Pkpk ya milion moja hyo ni mbovu wamkusudia nini huyo kijana...?
Ni...
CPA ni nzuri sanaa kama ukapata muongozo kuanzia mwanzo...
Kama walivyozungumza waliotangulia...
Kwa aliyemaliza kidato cha nne au cha sita anaweza akaanza kufanya mitihan ya Atec 1 & 2
Ndan ya mwaka mmoja kisha baada ya hapo akaendelea na foundation stage na intermediate mwaka mmoja kisha...
Aise huyu atakuwa ni mpumbavu kama watu tunapoteza muda kusoma ujinga wake alaf yeye analeta post za kipuuz huo ni ushez wa hali ya juu...
Na hiyo tabia aiache mara moja...
La svyo
Sent from my SM-A710F using JamiiForums mobile app
Hizi mambo muda mwingine si za kutangaza kwenye vyombo vya habar
Chamcng ni dola tu kuwaibukia kmya kmya na kumalizana nao...
Nini maana ya kuwataka wafike ktuo vmcha polisi..?
Inamaana wanapewa muda wa kujipanga na kujua wajibu nini..?
Aisee hii mambo ingependeza iende kimya kmya tu...
Cjaweza kupitia coment zote ila nimetizama chache sanaa lkn binafc naweza nikawa tofaut japo cjajua kama kunawaliojbu the way nafikiria
Kujenga ni bora zaidi kuliko kupanga..
Kama unahyo 60m. Na unaweza ukaendelea na kumudu gharam aza maisha yako..
Ni bora ukajenga na ukamiliki nyumba yako...
Great principle in life that i can advice members here...
"SUSPECT EVERYONE, AND TRUST NONE"
Mazungumzo yake ni mazur na matam, i can buy that...
Ila mtakaojichanganya kumfuata PM, say like "oh thanks for the nice post, and I'm one among job hunters without success please help"
My dear...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.