Recent content by Yousuph Mgeleka

  1. Yousuph Mgeleka

    Basi la Zuberi lapata ajali Singida

    Poleni sana majeruhi, poleni wafiwa mpaka sasa. Mola awapeni tahfifu majeruhi wote inshallah, Zuberi ni moja ya mabasi ninayoyaamini sana katika njia ya Mwanza-Dar kwenye usafirishaji wa abiria na vifurushi. Huzuni!
  2. Yousuph Mgeleka

    Rwanda inahitaji maombi

    Rwanda inasikitisha sana kwa jinsi inavyoendeshwa, ni wataalamu sana wa matusi na kejeli. Pole yao.
  3. Yousuph Mgeleka

    Duh! Hizi simu jamani

    Si uungwana hata kidogo kutukanana, hasa uongeapo kupitia simu ya mwenza. Binafsi huwa sithubutu kutumia simu ya mamsap wangu, inaepusha uhuru wa privacy.
  4. Yousuph Mgeleka

    Tunataka uhusiano mzuri na nchi jirani(Tanzania), Louise Mushikiwabo-Rwanda FM

    Eid Mubarak! Leo waziri akiongea kwa soft tone, kabla waziri alikuwa na a bitter tone. Hii ndio ionyeshayo kuwa, hawa wenzetu ni vigeugeu na wanajutia waliyoyakusudia hapo kabla. Kwa JK na msimamo wake, namuomba asiyumbishwe na haya matamko ya kunusuru msimamo wa serikali yake...
  5. Yousuph Mgeleka

    Live Star Tv: Charles Kitima - Bunge letu ni ovyo kabisa

    Napata taabu kuielewa Tanzania ya 2020-2030 itakuwaje katika sekta ya elimu na hili rika la vijana wanaofanyiwa mipango ya kuendelea kwa masomo ya juu ilhali kitaaluma wamefeli.
  6. Yousuph Mgeleka

    Kauli ya James Mbatia ilikuwa niyakumlenga nani???kuhusiana na shambulio la Arusha??

    Mkuu, Hebu tubandikie...aliongeaje, alitaja jina gani, alimuelekezea nani kidole katika interview yake hiyo?
  7. Yousuph Mgeleka

    Picha: Majeruhi wa Bomu Wakisafirishwa kwenda Muhimbili Dar!

    Poleni sana majeruhi, laana hii itawarudia waliofadhili ugaidi huo. Hamkutegemea kupata maumivu hayo ambayo leo hii yamewasibu. Mola Mtukufu na awapeni ahueni na mpone haraka, poleni nyote.
  8. Yousuph Mgeleka

    Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

    Mkuu Nsera Ndawani, Hebu tuwekee CHANZO, maana napata ukungu kuamini mabandiko yako kwa habari hii.
  9. Yousuph Mgeleka

    Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

    Hongera Pengo kwa kauli yako hiyo, ila mleta thread ungetuwekea chanzo cha nukuu ya kauli ya Pengo tafadhali kwa kujiridhisha. Source pls!
  10. Yousuph Mgeleka

    Mwingira wa EFATHA awaita Viongozi ya Serikali ni washenzi

    Hivi kweli upo kanisani kwa ibada....au upo mithili ya kivuli tu? Ninachoamini, uwapo kwenye ibada huwezi kushika simu au kufanya jambo min'ghairi ya ibada pekee.
  11. Yousuph Mgeleka

    Message from President al-Assad to Tanzanian President on Situation in Syria

    Mkuu Ben Saanane Naridhika sana na uchambuzi wako huu wa masuala ya kimataifa, nimekushiba kwa hili. Tukiacha mambo mengine ya siasa za ndani na namna yanavyojiri, ningeishauri sana Chadema hapa jukwaani ikakutumia zaidi katika masuala ya kimataifa 'kurugenzi ya mahusiano ya kimataifa', naamini...
  12. Yousuph Mgeleka

    Israel yashambulia Syria!

    Nakuunga mkono kwa hili, ni ukweli kuwa kutakuwa na regional war pale midle east. Japo wengi hii vita imekaa ki-ushia na ki-usunni ambapo Iran, Iraq na Lebanon kupitia Hizbollah chini ya Hassan Nasrallah wakimuunga mkono zaidi Bashar al Assad. Ila kwa hiyo explosion, kuna dalili ya amani...
  13. Yousuph Mgeleka

    Message from President al-Assad to Tanzanian President on Situation in Syria

    Mkuu Ben Saanane Hapo nilipo-highlight, vipi juu ya utawala wa Zia-ul-Haq pale Pakistan ulikuwa na mrengo gani kuulinganisha na mrengo wa Zulfikar A. Bhutto?
  14. Yousuph Mgeleka

    Message from President al-Assad to Tanzanian President on Situation in Syria

    Ni kweli kabisa ulimwengu wa kiarabu umegawanyika kabisa na waliopo madarakani ni vibaraka tu, wote wapo upande wa magharibi na ukiangalia hata base nyingi za kijeshi za Marekani zipo Arabuni. Upande wa Palestine, ulilisahau kundi jingine la Islamic Jihaad (Brigade). Ni ukweli usiopingika juu ya...
Back
Top Bottom