Bidhaa zote zeńye madhara huwa zinakiwaga na ujumbe wa onyo kama pombe na sigara
Mbona sijaona kwenye soda huo ujumbe ya kuwa unywaji soda kupita kiasi ni madhara kwa afya yako[emoji57][emoji57][emoji57]
Una ushahidi na unachoongea hapo juu au ndo kutafuta kiki kwa pikipiki!!!! Una ushahidi Gani wakuu WA mikoa waliopita hawakuwa wasomi na wabunifu!!!!! Acheni sifa
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hii ya kwako Kali [emoji115] Mzee yusufu makamba na Abbas kandoro utawaacha wapi !!!!! Acheni kupiga kelele !!! Nendeni mkafanye kazi!!!!
Hata viongozi wengine waliyafanya hayo katika wakati wao wa uongozi!!! So hakuna makonda alilofanya jipya kuwazidi hao waliowahi kuwa wakuu WA mkoa WA dar es salaam!!!
Theoretically speaking yes!!! Ila twende kwenye reality ndugu yangu utasugua gaga mpaka umalize mawe!!!! Ingekuwa hivyo wauza mahindi wangekuwa mabilionea
From my point of view!!!hivi vinatokea kwa sababu hakuna sheria na utaratibu!!! Kinachotakiwa ni
1. kuwe na tume inayowaregulate madalali na isajiliwe serikalini
2. kila dalali asajiliwe kwenye hyo tume na agewe leseni
3. Kuwe na sheria itungwe kabisa ambayo itaregulate na kucontrol hii...
Sasa hv ni mwendo wa kuleta maendeleo!!!!siasa ni mwaka 2020!!! Kama wakiyaleta hayo mambo !!!basi watakuwa wamevunja miiko waliyoiweka wao na itawagharimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.