Wanywaji wa Soda hatarini

Wanywaji wa Soda hatarini

Babu yangu ana miaka 92 alianza kunywa soda miaka zaidi ya 40 iliyopita anadunda hadi kesho. Propaganda tu hizo.
Kuna professor mmoja huku ni specialist doctor ni mzee umri umeenda but soda yake ni Coca-Cola. Mimi siachi soda na hayo macomplication sipati ng'o!
 
Kati ya soda na kitimoto kipi kina madhara zaidi ? Nyanya zilizopuliziwa madawa makali je ? Mafuta ya korie yale ya chura nayo utasemaje ? Moshi wa magari na viwandani ? Hzo chipsi na bager na kuku broiler utasemaje ? Anyway kila mtu afate anachoona ni sahihi...but Pepsi ya bardi iache hivyo hivyo
Mimi Pepsi ya baridi siachi
 
Papuchi ni Sumu pia. Ila hatutaacha kuilamba. Hakuna facts hapo ni yekeyeke tu.
 
Bidhaa zote zeńye madhara huwa zinakiwaga na ujumbe wa onyo kama pombe na sigara
Mbona sijaona kwenye soda huo ujumbe ya kuwa unywaji soda kupita kiasi ni madhara kwa afya yako
 
Nimegundua Kiungo pekee kinachofurahia soda ni ULIMI tu. Zinatosha nilizokunywa. Nimeacha soda rasmi leo tena sasa hivi
 
Babu yangu ana miaka 92 alianza kunywa soda miaka zaidi ya 40 iliyopita anadunda hadi kesho. Propaganda tu hizo.
Safi sana mkuu. Huu ni upuuzi fulani tu. Tqngu lini tafiti za maana zikafanyika Tanzania? Soda ni kinywaji cha kimatafa na kimekuwepo miaka kibao kabla ya hao IJUTA. Watu kibao duniani huko ndiyo kinywaji chao na hawafi.

Halafu nawashangaa hawa IJUTA wameshindwa kufanya uchunguzi wa madhara ya udikteta uchwara Tanzania halafu wanakomaa na soda?
 
Kati ya soda na kitimoto kipi kina madhara zaidi ? Nyanya zilizopuliziwa madawa makali je ? Mafuta ya korie yale ya chura nayo utasemaje ? Moshi wa magari na viwandani ? Hzo chipsi na bager na kuku broiler utasemaje ? Anyway kila mtu afate anachoona ni sahihi...but Pepsi ya bardi iache hivyo hivyo
Ongezea na:-
+Mchicha/mboga mboga za kwenye maji machafu ya viwandani na majumbani
+Maziwa ya ng'ombe aliyedungwa sindano siku 3 zilizopita.
+Ugali wa dona wa mahindi yaliyohifadhiwa kwa dawa halafu yakasagwa bila kuoshwa.
+Nyanya zilizopuliziwa sumu ya kuzuia kuoza wiki moja kqbla ya kuchumwa.
+Nyama ya ng'ombe aliyepigwa sindano halafu akazidiwa kisha akachinjwa.
+Samaki waliovuliwa kwa sumu
Ndugu waambie kqbisa, dunia ya leo kuepuka sumu labda mtu aamue kujinyonga
 
Soda ni SUMU
by Masengwa 20 hrs ago



AFYA za mamilioni ya Watanzania wanaotumia vinywaji vya aina ya soda ipo hatarini, baada ya kugunduliwa uwepo wa chembechembe zenye kemikali za sumu ndani ya vinywaji hivyo, MTANZANIA Jumatano linaripoti.

Utafiti uliofanywa na Muungano wa Waandishi wa Habari za Uchunguzi Tanzania (Investigative Journalists Union of Tanzania- IJUTA) pamoja na tafiti zilizofanywa na wataalamu waliobobea katika afya ya umma duniani, umebaini kuwa vinywaji baridi aina ya soda ni hatari kuliko utumiaji wa sigara inayosababisha maradhi ya kansa katika mwili wa binadamu.

Kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi mbalimbali duniani, yapo madhara makubwa ya utumiaji wa vinywaji vya aina ya soda katika mwili wa binadamu.

Utafiti huo unaonyesha kuwa zipo sababu nane kuu zinazokiweka kinywaji aina ya soda kwenye kundi la vinywaji vyenye sumu ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu.

IJUTA imebaini kuwa makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji baridi aina ya soda yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka kujitangaza na kutoa misaada ya kijamii kutokana na mauzo yake, bila kutaja madhara ya vinywaji hivyo kwa binadamu.

Kwamba matangazo hayo yanayogharimu mamilioni ya fedha ndiyo yanayokifanya kinywaji hicho kuwa maarufu zaidi duniani, licha ya kuwa na madhara makubwa katika mwili wa binadamu.

Aidha, utafiti huo unaonyesha kuwa umaarufu mwingine wa kinywaji aina ya soda ni utamu wa kupindukia ulio ndani ya soda.

Utafiti wa IJUTA unaonyesha kuwa utamu wa kupindukia iliomo ndani ya soda unawapumbaza wanywaji ili wasisikie ladha kali ya asidi iliyomo ndani ya soda.

IJUTA imegundua kuwa kiwango cha asidi kilicho ndani ya soda hakiwekwi wazi kwa walaji kwa sababu ya kuhofia kuwa wakibaini wataacha kikutumia kinywaji hicho.

Inaelezwa pia kuwa madini ya cola yaliyo ndani ya soda yana kilevi aina kafein kinachomteka mnywaji kuwa teja wa kinywaji hicho.

Tafiti za kitaalamu zimeonyesha kuwa soda inahusishwa na matatizo mengi ya kiafya kwa watoto na watu wazima, yakiwemo matatizo ya kuongezeka unene kupita kiasi, ugonjwa wa ini na mengineyo.

Utafiti uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa soda huwekewa ‘fructose’ (sukari) nyingi kupitia mfumo wa sirapu (fructose corn syrup) ambayo inaongoza kwa kusababisha magonjwa ya unene, kisukari, ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine sugu yanayowakabili Wamarekani wengi hivi sasa na dunia kwa ujumla.

Dk. Mercola, ambaye ni mtaalamu wa masuala ya lishe asilia na tiba mbadala nchini Marekani, amekaririwa na tafiti mbalimbali zilizofanyika nchini humo akieleza kuwa kinywaji aina ya soda ni hatari kwa binadamu, sawa na mtu anayevuta sigara au zaidi, jambo alilosisitiza kuwa siyo la kutia chumvi, bali ukweli halisi.

Watumiaji wa vinywaji aina ya soda wanaelezwa kuwa wamekuwa wakinywa kiasi kikubwa cha kaboni, kafeini (dawa ya kulevya), sukari ya kupundukia na asidi kali ambayo huvuruga afya ya mtumiaji kwa kiwango cha juu.

Soda pia imebainika kutokuwa na lishe ya aina yoyote zaidi ya maji na sukari.
Uchunguzi wa IJUTA na utafiti ya wanasayansi mbalimbali duniani, umeonyesha kuwa watu wengi hawajui kuwa unywaji wa soda huwaongezea kiasi kikubwa cha madini joto.

Chupa moja ya soda yenye ujazo wa mililita 330 husababisha unene kwa kiwango cha paundi moja kwa mwezi.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Kisukari Tanzania (TDA), Ramadhan Mongi, amepata kukaririwa na vyombo vya habari hapa nchini akieleza kuwa ugonjwa wa kisukari Tanzania umeongezeka mara sita katika siku za hivi karibuni.

Alisema miaka kumi iliyopita, hali ya kisukari ilikuwa asilimia tatu (3), lakini katika miaka ya karibuni umeongezeka mara sita.

“Tunastahili kuongeza jitihada ya kupambana na gonjwa hili la kisukari kwa gharama zote kwa sababu kisukari ni moja ya magonjwa manne yanayomaliza Watanzania,” alisema.

Utafiti uliofanyika Mkoa wa Dar es Salaam ulibaini kwamba kati ya watu watano waathirika wa kisukari, mmoja tu ndiyo hupata matibabu ya serikali.

Unywaji kwa mpigo wa kabohaidrets iliyo na sukari nyingi kwenye soda hudhoofisha seli zinazozalisha vimeng’enya tofauti na vyakula vingine na pia imebainika kuwa sukari ikiingia kwa wepesi kwenye mzunguko wa damu husababisha kongosho kuzalisha vimeng’enya vingi mwilini.

Uchunguzi wa kitabibu katika Hospitali ya wanawake ya Boston nchini Marekani na katika Chuo cha Kitabibu cha Harvard umeonyesha wanawake 51,000 hawakuwa na kisukari mwanzoni mwaka wa 1991, lakini miezi minane baadaye wanawake 741 waligundulika na kisukari.

Ripoti ya utafiti huo ilionyesha kuwa wanawake waliokuwa wakitumia kinywaji aina ya soda moja ama mbili kwa siku waliongezeka uzito maradufu na walikuwa hatarini kupata ugonjwa wa kisukari.

Pia ilionyesha kuwa soda hudhoofisha mifupa na husababisha hali ya mifupa kupuputika, hali inayomuweka mtumiaji kuwa katika hatari ya kuvunjika mifupa kirahisi.

Madhara mengine yaliyobainika kusababishwa na unywaji soda ni kupukutika kwa meno na ama kuoza. Pia soda husababisha matatizo ya figo.

Soda yenye chembe ya cola husababisha figo kuwa na mawe kwa sababu ya asidi na kemikali mbalimbali zinazofichwa vipimo vyake kwa walaji.

Madaktari bingwa wa wanamichezo wanaeleza madhara yanayosababishwa na soda mwilini kuwa ni pamoja na shinikizo la damu, uharibifu wa ini, huvurugu mfumo wa kumeng’enya chakula tumboni kutokana asidi ya kiwango cha juu iliyo kwenye soda.

Wanashauri kuwa soda haistahili kutumika kama kishawishi kwenye mchezo, kwa sababu ina madhara makubwa kwa wanamichezo kwa sababu hunyonya maji kwenye mwili na kudhoofisha mwili.

Wakati utafiti huo ukidhihirisha hayo, Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeshindwa kutoa tamko lolote kuhusu utafiti huo, hata baada ya kupelekewa maswali kwa maandishi yanayoomba ufafanuzi wa ubora wa vinywaji vya soda katika mwili wa binadamu.

Mtanzania
Yani kusoma taarifa za wenzenu na kuziandika kiswahili ndio mnaita "investigative journalism"? Aibu!
 
Soda ni SUMU
by Masengwa 20 hrs ago



AFYA za mamilioni ya Watanzania wanaotumia vinywaji vya aina ya soda ipo hatarini, baada ya kugunduliwa uwepo wa chembechembe zenye kemikali za sumu ndani ya vinywaji hivyo, MTANZANIA Jumatano linaripoti.

Utafiti uliofanywa na Muungano wa Waandishi wa Habari za Uchunguzi Tanzania (Investigative Journalists Union of Tanzania- IJUTA) pamoja na tafiti zilizofanywa na wataalamu waliobobea katika afya ya umma duniani, umebaini kuwa vinywaji baridi aina ya soda ni hatari kuliko utumiaji wa sigara inayosababisha maradhi ya kansa katika mwili wa binadamu.

Kwa mujibu wa utafiti wa wanasayansi mbalimbali duniani, yapo madhara makubwa ya utumiaji wa vinywaji vya aina ya soda katika mwili wa binadamu.

Utafiti huo unaonyesha kuwa zipo sababu nane kuu zinazokiweka kinywaji aina ya soda kwenye kundi la vinywaji vyenye sumu ambavyo havifai kwa matumizi ya binadamu.

IJUTA imebaini kuwa makampuni makubwa yanayotengeneza vinywaji baridi aina ya soda yanatumia mabilioni ya dola kila mwaka kujitangaza na kutoa misaada ya kijamii kutokana na mauzo yake, bila kutaja madhara ya vinywaji hivyo kwa binadamu.

Kwamba matangazo hayo yanayogharimu mamilioni ya fedha ndiyo yanayokifanya kinywaji hicho kuwa maarufu zaidi duniani, licha ya kuwa na madhara makubwa katika mwili wa binadamu.

Aidha, utafiti huo unaonyesha kuwa umaarufu mwingine wa kinywaji aina ya soda ni utamu wa kupindukia ulio ndani ya soda.

Utafiti wa IJUTA unaonyesha kuwa utamu wa kupindukia iliomo ndani ya soda unawapumbaza wanywaji ili wasisikie ladha kali ya asidi iliyomo ndani ya soda.

IJUTA imegundua kuwa kiwango cha asidi kilicho ndani ya soda hakiwekwi wazi kwa walaji kwa sababu ya kuhofia kuwa wakibaini wataacha kikutumia kinywaji hicho.

Inaelezwa pia kuwa madini ya cola yaliyo ndani ya soda yana kilevi aina kafein kinachomteka mnywaji kuwa teja wa kinywaji hicho.

Tafiti za kitaalamu zimeonyesha kuwa soda inahusishwa na matatizo mengi ya kiafya kwa watoto na watu wazima, yakiwemo matatizo ya kuongezeka unene kupita kiasi, ugonjwa wa ini na mengineyo.

Utafiti uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa soda huwekewa ‘fructose’ (sukari) nyingi kupitia mfumo wa sirapu (fructose corn syrup) ambayo inaongoza kwa kusababisha magonjwa ya unene, kisukari, ugonjwa wa moyo na magonjwa mengine sugu yanayowakabili Wamarekani wengi hivi sasa na dunia kwa ujumla.

Dk. Mercola, ambaye ni mtaalamu wa masuala ya lishe asilia na tiba mbadala nchini Marekani, amekaririwa na tafiti mbalimbali zilizofanyika nchini humo akieleza kuwa kinywaji aina ya soda ni hatari kwa binadamu, sawa na mtu anayevuta sigara au zaidi, jambo alilosisitiza kuwa siyo la kutia chumvi, bali ukweli halisi.

Watumiaji wa vinywaji aina ya soda wanaelezwa kuwa wamekuwa wakinywa kiasi kikubwa cha kaboni, kafeini (dawa ya kulevya), sukari ya kupundukia na asidi kali ambayo huvuruga afya ya mtumiaji kwa kiwango cha juu.

Soda pia imebainika kutokuwa na lishe ya aina yoyote zaidi ya maji na sukari.
Uchunguzi wa IJUTA na utafiti ya wanasayansi mbalimbali duniani, umeonyesha kuwa watu wengi hawajui kuwa unywaji wa soda huwaongezea kiasi kikubwa cha madini joto.

Chupa moja ya soda yenye ujazo wa mililita 330 husababisha unene kwa kiwango cha paundi moja kwa mwezi.

Mkurugenzi wa Taasisi ya Kisukari Tanzania (TDA), Ramadhan Mongi, amepata kukaririwa na vyombo vya habari hapa nchini akieleza kuwa ugonjwa wa kisukari Tanzania umeongezeka mara sita katika siku za hivi karibuni.

Alisema miaka kumi iliyopita, hali ya kisukari ilikuwa asilimia tatu (3), lakini katika miaka ya karibuni umeongezeka mara sita.

“Tunastahili kuongeza jitihada ya kupambana na gonjwa hili la kisukari kwa gharama zote kwa sababu kisukari ni moja ya magonjwa manne yanayomaliza Watanzania,” alisema.

Utafiti uliofanyika Mkoa wa Dar es Salaam ulibaini kwamba kati ya watu watano waathirika wa kisukari, mmoja tu ndiyo hupata matibabu ya serikali.

Unywaji kwa mpigo wa kabohaidrets iliyo na sukari nyingi kwenye soda hudhoofisha seli zinazozalisha vimeng’enya tofauti na vyakula vingine na pia imebainika kuwa sukari ikiingia kwa wepesi kwenye mzunguko wa damu husababisha kongosho kuzalisha vimeng’enya vingi mwilini.

Uchunguzi wa kitabibu katika Hospitali ya wanawake ya Boston nchini Marekani na katika Chuo cha Kitabibu cha Harvard umeonyesha wanawake 51,000 hawakuwa na kisukari mwanzoni mwaka wa 1991, lakini miezi minane baadaye wanawake 741 waligundulika na kisukari.

Ripoti ya utafiti huo ilionyesha kuwa wanawake waliokuwa wakitumia kinywaji aina ya soda moja ama mbili kwa siku waliongezeka uzito maradufu na walikuwa hatarini kupata ugonjwa wa kisukari.

Pia ilionyesha kuwa soda hudhoofisha mifupa na husababisha hali ya mifupa kupuputika, hali inayomuweka mtumiaji kuwa katika hatari ya kuvunjika mifupa kirahisi.

Madhara mengine yaliyobainika kusababishwa na unywaji soda ni kupukutika kwa meno na ama kuoza. Pia soda husababisha matatizo ya figo.

Soda yenye chembe ya cola husababisha figo kuwa na mawe kwa sababu ya asidi na kemikali mbalimbali zinazofichwa vipimo vyake kwa walaji.

Madaktari bingwa wa wanamichezo wanaeleza madhara yanayosababishwa na soda mwilini kuwa ni pamoja na shinikizo la damu, uharibifu wa ini, huvurugu mfumo wa kumeng’enya chakula tumboni kutokana asidi ya kiwango cha juu iliyo kwenye soda.

Wanashauri kuwa soda haistahili kutumika kama kishawishi kwenye mchezo, kwa sababu ina madhara makubwa kwa wanamichezo kwa sababu hunyonya maji kwenye mwili na kudhoofisha mwili.

Wakati utafiti huo ukidhihirisha hayo, Taasisi ya Chakula na Dawa Tanzania (TFDA) imeshindwa kutoa tamko lolote kuhusu utafiti huo, hata baada ya kupelekewa maswali kwa maandishi yanayoomba ufafanuzi wa ubora wa vinywaji vya soda katika mwili wa binadamu.

Mtanzania
Naomba niwakumbushe hichi IJUTA , mliogopa kuweka na huu utafiti ambao coca cola na pepsi wanatumia gharama kubwa kuuzima au nanyi mumehongwa .

coca cola na pepsi wamekubaliana kuondoa kitu kinachoitwa BVO [ brominated vegetable oil} katika soda.

coca cola walisema watatoa BVO yote katka vinywaji vyao mwaka 2014, pepsi wao waliahidi mwaka 2013.

Japan wao waliamua kupiga marufuku kabisa product za coca na pepsi , ingawa baadaye pepsi alirekebisha product yake ikapata access kabla ya coca.

usalama wa hii additive bado ni debetable issue duniani , kuna nchi wanakubali na kuendelea kufanya biashara na coca na pepsi na hii ni kutokana na upande wa kiuchumi wanaopata kuliko kuangalia kiafya .

Nilivyotafiti mimi na kwa mujibu wa mtandao wa https:mercola.com . BVO inaleta madhara mengi sana kuliko faida

- magonjwa ya akili( neurological impairment) na inaondoa iodine na kuleta goitre , kansa ya kizazi ,matiti, uvimbe,unene amabao unapelekea kisukari kwa haraka sana . daalili za watu walioathiriwa na BVO ni

1. kichwa kuuma mara kwa mara
2. kuchoka sana
3. kusahau sahau
4. kukosa hamu ya kula vizuri unachagua vyakula
5.maumivu ya tumbo la chini
6. vipele vyekundu visvyowasha
 
Naomba niwakumbushe hichi IJUTA( investigative journalist union of tanzania) , mliogopa kuweka na huu utafiti ambao coca cola na pepsi wanatumia gharama kubwa kuuzima au nanyi sijui mumehongwa .

coca cola na pepsi wamekubaliana kuondoa kitu kinachoitwa BVO [ brominated vegetable oil} katika soda.

coca cola walisema watatoa BVO yote katka vinywaji vyao mwaka 2014, pepsi wao waliahidi mwaka 2013.

Japan wao waliamua kupiga marufuku kabisa product za coca na pepsi , ingawa baadaye pepsi alirekebisha product yake ikapata access kabla ya coca.

usalama wa hii additive bado ni debetable issue duniani , kuna nchi wanakubali na kuendelea kufanya biashara na coca na pepsi na hii ni kutokana na upande wa kiuchumi wanaopata kuliko kuangalia kiafya .

Nilivyotafiti mimi na kwa mujibu wa mtandao wa https:mercola.com . BVO inaleta madhara mengi sana kuliko faida

- magonjwa ya akili( neurological impairment) na inaondoa iodine na kuleta goitre , kansa ya kizazi ,matiti, uvimbe,unene amabao unapelekea kisukari kwa haraka sana . daalili za watu walioathiriwa na BVO ni

1. kichwa kuuma mara kwa mara
2. kuchoka sana
3. kusahau sahau
4. kukosa hamu ya kula vizuri unachagua vyakula
5.maumivu ya tumbo la chini
6. vipele vyekundu visvyowasha
 
Kwa hiyo chochote processed (kuwekewa chemicals) ni hatari? Tule nini? Kama dawa tutumie miti shamba?? Kuku sawa utakula wa kienyeji je hutaweka chumvi iliyotoka kiwandani? Ni shida, tupige maombi au!!
 
kwan usipokunywa hiyo soda ndio utakuwa umeepuka kifo?
 
Acha tufe tu hii bongo hakunakilicho salama hata demu wako unahuhakika yuko salama mkuu?
 
Back
Top Bottom