Itafika sehemu watanzania watashindwa kuwagua Ukawa# nikweli tunahitaji Upinzani ili kuikosoa serikali nakutoa mawazo mbadala sasa unatoka nje na unawaacha ccm wanaendelea kufanya yao then unaishia kulaumu....
Huyu animal scientist kiukweli hajajipanga. Unahitaji watu5 watakaotoa 1ml/ head ili mtaabike baadae mtengeneze pesa . hujaainisha hizo 5ml mtazifanyia nini ili baadae mneemeke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.