Recent content by youngmillionaire

  1. Y

    Zauza miti ya mbao aina ya PINE

    nasikia mkishawauziaga watu miti Huwa mnaichoma moto au kumuua mnunuaji kimazingara
  2. Y

    Man Pacquiao ndani ya kanzu

    Sio mkatoliki ni mlokole na hana mpango wa kuslim
  3. Y

    Kambi ya Upinzani yasusia Bunge, watoka nje ya ukumbi

    Itafika sehemu watanzania watashindwa kuwagua Ukawa# nikweli tunahitaji Upinzani ili kuikosoa serikali nakutoa mawazo mbadala sasa unatoka nje na unawaacha ccm wanaendelea kufanya yao then unaishia kulaumu....
  4. Y

    Natafuta watu watano wenye nia ya kweli ya kutaabika sasa ili tutanue baadaye inshallah

    Huyu animal scientist kiukweli hajajipanga. Unahitaji watu5 watakaotoa 1ml/ head ili mtaabike baadae mtengeneze pesa . hujaainisha hizo 5ml mtazifanyia nini ili baadae mneemeke
  5. Y

    Je, Ni kweli wayahudi milioni 6 waliuliwa na Hitler?

    Naona umejisahaulisha kuwa Hitler ni Myahudi aliezaliwa Austria na kukulia German
  6. Y

    Marekani yasitisha rasmi Ufadhili wake wa MCC kwa Tanzania

    Acha watunyime misaada tujifunze kujitegemea. Hizo pesa wanatupatia kwa mSharti kibao. Tutashirikiana na nchi zilizotayari kusaidizana nasi
Back
Top Bottom