Fanya masters ya public administration itakusaidia kuwa na uwanja mpana sana cz tayar una degree ya education kuna jamaa yangu alisoma education udsm bdaye akaenda kusoma masters ya hr mzumbe kwa sasa ni.meneja mzuri wa hr kwenye kampuni kubwa. ..health unakua umejbana sana na serkalin haina...
Mkuu hii naweza kuita post ya mwaka ...mwgulu Ni team lowasa. ..nchimbi team lowasa...Ngeleja(mwanza) ni team lowasa masha(mwanza)team lowasa apa naona kifo cha ccm waspomptsha lowasa
moja ya watu ninaowaamini sana apa jamvini ni mzee tupatupa wa lumumba ...tunawasubir ccm wakosee wamnyme lowasa nafasi ya kugombea urais ili tuwape wapnzani
hongera ngasa ulifanya makosa dili la al hal ya sudani ila ulijifunza simba na yanga ni viwanda vya kuua viwango vya wachezaji alafu wanakutelekeza...achana na starehe na ndoa za kila siku wewe ni kijana mdogo kuoa ovyo kunakupotezea malengo hiyo iwe chachu ya kwenda ulaya usiishie apo...
naomba nikutolee lugha chafu...pumbafu ujitambui tunaomba kila sku wachezaji waende kucheza nje hususani afrca kusini na ulaya unaleta habari za wazee wa yanga apa nahsi ujasoma wewe...nisamee ila ujtambui japo mimi nimwanachama hai wa yanga kwanza hii timu iendeshwe kama kampuni hizi akili maji...
chadema na ukawa ata vkao vyenu vya siri mmepanga kuhakikisha mnamchafua lowasa kwa nguvu kuelekea uchaguzi kwani ndye mgombea wa ccm ambaye ni threat hususani mijini na vijijini ushaidi upo na tape zpo za vkao
Tutuvuka daraja tukilifikia...Ma Presdent is lowasa siwezi kuongozwa na njozi na mzee wa watabiri a.k.a joka la mdmu......iwe ni kupitia ccm au kuptia familia yake yeye ndye rais wangu mtarajiwa na nitahakikisha mimi binafsi namtaftia wapga kura 1000 moja kwa Jina la Yesu na Mungu anipe uwezo
achene kujiarishia kwenye mitanddao lowasa ndiye rais wetu huyo membe wenu na wauza unga wake kwanza ubunge wenyewe alipewa gari na rostam ya kampeni yeye anaakisi nini....shame on u guys and joka la mdmu group ela za gadafi zimewalaani rambirambi lazma iwatokee puani ila mjue mtairudsha...
mimi ninachojua team membe ndiyo inayoongozwa na wauza unga hatutaki nchi iwe ya kina masogange na matajiri wao lowasa anafanya clean bussines na znafahamika...watu wote wanaomuunga mkono lowasa ni watu wanaojitambua ....team mdmu presha inawaua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.