Mtanzania No.1
Member
- Jan 4, 2015
- 20
- 5
Wakuu mbona Makongoro mnamsahau kwenye hiyo list.
Kuna majina matatu umeteleza.
Prof Anna Tibaijuka, Dr Harrison Mwakyembe na Dr Asharose Migiro, hawa wote hawajawahi hata siku moja hata kuonesha nia ya kuutaka urais. Acha kupotosha umma.
moja ya watu ninaowaamini sana apa jamvini ni mzee tupatupa wa lumumba ...tunawasubir ccm wakosee wamnyme lowasa nafasi ya kugombea urais ili tuwape wapnzaniMkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Lowassa ndio raisi wa tano, hakuna wa kumzuia !Hii siyo habari kwa sasa! Jambo pekee tunalotaka kujua ni: Is Lowassa IN or OUT ?????? Tunataka kujua kwamba, Chama Cha Mapinduzi, kinaweza kweli kumpitisha Mtoa Rushwa NA.1 na Fisadi papa Lowassa, kuwa mgombea Urais, ambaye pia ndiye atakayekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi, ambacho kiapo chake cha nne katika viapo vyake vya wanachama, kinasema,"RUSHWA NI ADUI WA HAKI. SITAPOKEA WALA KUTOA RUSHWA", au atatupwa katika hatua za mwanzo za mchakato??????
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Mkutano wa Sekretarieti ya CCM ulioisha usiku wa manane wa kuamkia leo umeibuka na mpya ya 2015. Habari za kuaminika toka kikaoni zinadokeza kuwa Sekretarieti imeamua na kupendekeza kuwa makada wote waliotangaza kuwa hawatagombea Ubunge,wasipitishwe tena majimboni wakikosa Urais.
Sekretarieti imebainisha kuwa hilo litapunguza mvutano majimboni kwakuwa tayari wameshachomoza makada wa kuwapokea vijiti walioaga. Sekretarieti inapendekeza watakaokosa ugombea wa Urais wasubiri nafasi za kuteuliwa endapo CCM itashinda uchaguzi ujao.
Wazo kama hili lilikuwepo 2005 na 2010 lakini wengi waliokosa kugombea Urais waligombea Ubunge majimboni mwao. Mwaka huu itawezekana. Tusubiri tuone. Watangaza nia wakae chonjo!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Arusha)
Kwa hiyo EL atakuwa mbunge wa kuteuliwa siyo..