Recent content by young solicitor

  1. young solicitor

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Jinsi ya kubadili section kutoka kufundisha Sekondari kwenda Vyuo vya Kati (Diploma na Certificate)

    GPA isipungue 3.5, ni kuomba tu pindi nafasi zinapojitokeza
  2. young solicitor

    JamiiForums Tanzania DC Alberto Msando akopa milioni106 benki ili kuwajengea wamachinga sehemu ya kufanyia biashara

    Mimi sio mtaalam wa political science au mambo mengineyo ya kiutawala, lakini this is not right na kwa namna moja au nyingine mh dc anaingilia shughuli za baraza la madiwani na halmashauri kwa ujumla. Itoshe kusema Msando ana jambo lake Arusha mjini 2025 na naona likitimia.
  3. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

    Nilichosema ni kuwa " Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right. Freedom of expression is paramount" Sasa ume edit kutafsiri utakavyo na kunipa upande. Hebu elewa kwanza kabla ya kukurupuka
  4. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

    Nadhani hukuelewa lugha niliyotumia, pole kwa usumbufu. Naona umuhimu wa walimu kutilia mkazo lugha za kigeni mashuleni.
  5. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

    Naunga mkono chanjo naanze na hilo. Pili nitoe masikitiko yangu kuwa nchi hii kuwa na msimamo tofauti na rais ni kosa this is not right. Freedom of expression is paramount Yote haya aliyataka mwendazake lakini.
  6. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Yanga tumefanyiwa udhalilishaji mkubwa sana. Naona hata aibu

    A national team player Two times mvp Top assist 8 premier league gosls Two medals Asee unamlinganisha na Tk master Title 0 Goals 2 Assist 0 Medals 0 Nationsl team player 😂
  7. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Zanzibar yaamuru Cryprian Musiba kumlipa Fatma Karume Tzs 7.5 bilioni

    Kesi kufunguliwa Zanzibar. This was very smart move, case ingefunguliwa bara ingechukua mda mrefu kukamilika, Zanzibar hakuna case nyingi kama dsm/bara. Sasa baada ya order ya payment of 7.5Billion what next. Kwa sasa Fatma anasubiria tu copy of decree aanze ukazaji hukumu/ execution...
  8. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Simba SC, Mo Dewji na CEO Barbara nawaomba msimjibu lolote (chochote) aliyekuwa Msemaji 'Mnafiki' Haji Manara, ila mtuachie Mashabiki

    Ni upumbavu kwa timu ambayo imechukua premier league 4 consecutive times, FA twice na caf champions league quater finals twice kudhania kuwa yanga ndo adui yake mkubwa, this kind of thinking kwako na viongozi wa mpira ndo inaturudisha nyuma. Mbumbumbu fc manara asiwatoe njiani kwenye malengo...
  9. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Lengo la Manara Mo aondoke Azam wachukue matangazo ya simba

    Hoja yako ni mfu Mo teyari ana TV rights za premier league kwa miaka kumi pamoja na za kombe la shirikisho. Labda home match za simba kwenye champions league ambazo hazizidi 15.
  10. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika afungua mazoezi ya kijeshi baina ya US na Tanzania

    Ndio naweza kuwa mdogo kiumri lakini historia haidanganyi vita vya kagera tulikurupuka tungeweza kuiepuka kidiplomasia kwa kutumia vyombo vya kimataifa lakini mwalimu alitaka kumrudisha rafiki yake obote madarakani. Pili ndiyo shilingi yetu ilikuwa na thamani baada ya vita uchumi ukayumba Imf na...
  11. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika afungua mazoezi ya kijeshi baina ya US na Tanzania

    Huo msimamo ndo ulisababisha Bidhaa kupungua nchini Sukari kuadimika Watu kupanga foleni kununua sukari, sabuni na dawa ya meno Mafuta kuadimika Na uchumi kudidimia kabisa Mpaka nchi ilipomshinda nyerere akaona ajiuzulu. Kama ndo hiyo misimamo unaizungumzia tuambie ilitufikisha wapi !?
  12. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Marekani Afrika afungua mazoezi ya kijeshi baina ya US na Tanzania

    Story za vijiweni hizi, kigamboni imeuzwa wapi, lini na bei kiasi gani. Kama huna proof endelea na dabokick zako uache story za vijiweni kwenye hili jikwaa
  13. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Simba yaachana na Haji Manara, Ezekiel Kamwaga ateuliwa kukaimu nafasi ya Msemaji wa Simba

    Kwa mashabiki wa mpira na simba, simba bado ipo, na wale mashabiki wa manara hoyahoya mlango mweupe
  14. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Waziri Gwajima: Marekani imechanja 2.4% ya watu wake na J&J

    Sio kweli kwamba wahudumu wa afya ni lazima kuchanjwa, ama toa muongozo au tamko la wizara ya afya au who kuthibitisha. Vinginevyo unabaki kuwa mwehu na mpuuzi unayeongea bila takwimu.
  15. young solicitor

    JamiiForums Tanzania Kilimanjaro Express Kuanza Safari za Usiku

    ✊hell yes to free market economy acha soko lenyewe lijiendeshe atakayeshindwa ku compete afee. Huu ndo ule ujima wa kuzui watu wasiuze maindi nje kisa watakufa njaa
Back
Top Bottom