Trump atashinda kwa asilimia kubwa Biden anaonekana na natives Americans weupe.. wekundu washapotea saizi natives ni whites huyu mpenda ushoga makamu waOobama atagaragazwa vibaya mistake nyingine ya Democrats
Unaona aibu kuonyesha utamaduni wako na asili yako hata china wanajisifu na ancient medicals zao tizama movie zao wanavyojitapa nazo na kuwa proud nazo na hawaoni aibu..wewe na huyo jamaa wa Haiti ni wakupigwa masarara una bahati umeandika kupitia keyboard
If you know your history,Then you...
Kila mtu anaishi sehemu kulingana na kipato chake
Huwezi kumpeleka mtu mahala chumba 60,000 pesa ya umeme 20,000 kwa mwezi 80,000 na wakati kipato chake 200,000 au 300,000 mwisho wa mwezi ..
Swali la kipuuzi kuwahi kulisikia nini maana ya intelijensia?
Polisi wanawajuaje majambazi si jntelijensua inafanya kazi kama mimi mlala hoi najua bei ya ngada sembuse serikali isijue?
Nilinuia kupumzika kuvuta Mmea wa Bangi kuanza kwa mwezi wa Ramadhani na ninashukuru leo ni siku ya 35 ama 34 sijavuta mmea wa Bangi na sisikii addiction yoyote au ile hamu ya kwenda mbio na sikupata shida toka siku ya moja.
Wavuta madawa ngada na wavuta sigara huwa hawawezi kabisa kuacha au...
Onyesha ni lini iran alishambulia taifa lolote au kuingilia taifa lolote lile kwa njia haramu pamoja na NK pia..
Tupe historia au record ya iran..kama hakuna mbn unasema wanatengeneza ili waipige usa wakati wanatengeneza ili wajihami na udictator wa USA mwenye record chafu ya kupiga nchi za...
Katika maisha yangu ya ukuaji utotoni mpaka ujanani kwangu nimekuwa nikiwasikia viumbe aina ya majini tuliambiwa majini ni viumbe visivyoonekana na wanatisha sana na wengi tuliogopa kukutana na viumbe hivi wa kusadikika licha ya kutowahi kuviona.
Wapo ambao wanaamini uwepo wao na wapo ambao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.