johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,850
Katibu mkuu mstaafu wa CCM Mzee Kinana amemsifu Mchungaji Msigwa kwa uungwana wa kuomba radhi kwa uzushi aliomzushia.
Kinana anasema baada ya uzushi huo alimshtaki Msigwa Mahakama Kuu ambapo alikutwa na hatia na kutakiwa kumlipa fidia Mzee Kinana.
Baada ya hukumu mchungaji Msigwa alimtafuta Mzee Kinana kupitia kwa rafiki zake ndipo akamkubalia waonane na walipokutana Msigwa aliomba radhi kwa uzushi ule na Mzee Kinana akamsamehe kwa sharti moja tu kwamba kama alivyomchafua kwa kuutangazia umma basi aurudie umma ule ule na kuujuza kuwa taarifa zile zilikuwa uongo mtupu.
Mchungaji Msigwa alikubali na kiungwana kabisa akaongea na taifa na kulijuza juu ya upotoshaji alioufanya hapo nyuma.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma:
1) Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi
2) HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)
3) Kinana kupitia Wanasheria amuandikia Msigwa kumtaka amuombe radhi
4) Mchungaji Msigwa (CHADEMA) amtaka Kinana awahi kortini
5) Kinana amburuza Msigwa kortini
6) Msigwa amuomba mzee Mtei akaongee na Kinana ili wayamalize!
7) Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo
Kinana anasema baada ya uzushi huo alimshtaki Msigwa Mahakama Kuu ambapo alikutwa na hatia na kutakiwa kumlipa fidia Mzee Kinana.
Baada ya hukumu mchungaji Msigwa alimtafuta Mzee Kinana kupitia kwa rafiki zake ndipo akamkubalia waonane na walipokutana Msigwa aliomba radhi kwa uzushi ule na Mzee Kinana akamsamehe kwa sharti moja tu kwamba kama alivyomchafua kwa kuutangazia umma basi aurudie umma ule ule na kuujuza kuwa taarifa zile zilikuwa uongo mtupu.
Mchungaji Msigwa alikubali na kiungwana kabisa akaongea na taifa na kulijuza juu ya upotoshaji alioufanya hapo nyuma.
Maendeleo hayana vyama!
Pia soma:
1) Mchungaji Msigwa akiri kumsingizia Kinana ujangili, amwangukia na kumwomba radhi
2) HOTUBA ya Kambi ya Upinzani Bungeni, Maliasili na Utalii na Peter Msigwa (FULL TEXT)
3) Kinana kupitia Wanasheria amuandikia Msigwa kumtaka amuombe radhi
4) Mchungaji Msigwa (CHADEMA) amtaka Kinana awahi kortini
5) Kinana amburuza Msigwa kortini
6) Msigwa amuomba mzee Mtei akaongee na Kinana ili wayamalize!
7) Mahakama kuamua kesi ya Kinana leo