Hujatufahamisha mkuu ilikuwaje kuwaje hadi ukagundua anakusaliti na pia alijibu nini baada ya kumkamata redhanded weka situation wazi zaidi ili upate ushauri na msaada sahihi.. ila pole sana mkuu najua maumivu ya kuchapiwa
Mkuu nipo tofauti nawewe kidogo japokuwa unaonekana umesoma sana vitabu vya dini...
Mtu yoyote anaweza kukulaani katika haki yake.. ukiachana na mambo ya kidunia katika roho na kweli mungu ametuumba kila mtu na haki yake na sisi sote ni watoto wake..
Ikitokea umemdhulumu mtu haki...
Hizo zote ulizozitaja si sababu mkuu tatizo la huu mchezo ni kuanza tu mara ya kwanza ukauzoea... unakuwa unajirudia automatically.. usimshawishi mtu ajiingize madhara yake ni mengi sana achilia mbali hayo ya nguvu za kiume yapo mengi hata ya kimaisha ingawa hayasemwi tu hadharani
Haya mambo ya mshahara wa mtu wala si ya kubishana ila kuna watu wanasimamia kucha kupinga vitu wasivyovijua... Samatta analipwa£51000 kwa wiki mahesabu mengine ongezea mwenyewe hapo
mke mwema utamjua wakati wa shida ukiona upendo upo pale pale hakika umepata mke ila si hawa ukifulia mnabaki marafiki ukipata hela ndo wanakuja speed ndugu yangu hao ni kwa matumizi tu si vyombo vya kabatini
huyo mwanamke wa mjini umekutana naye nawewe ingia tu kichwa kichwa.. ogopa sana mwanamke aliyekuzidi nyakati yaani mchezo mzima anaucontrol yeye akiamua kukuchunia anakuchunia akiona mambo yake hayaendi anajirudisha tu kwako.. utakuja kulia zaidi ya kambale nasisi tukikutana naye tunamla bila...
Congratulations mkuu wewe ndo unastahili kujengewa mnara wa kumbukumbu😅😅 Punyeto siyo nzuri kwa ambaye hajapiga au ndo yupo katika hatua za mwanzo atabisha hadi atakaposhuhudia madhara yake, wengi wanaitetea na wataendelea kuitetea hadi hapo itakapowasaliti na wakatamani kuiacha hapo ndo...
humu humu wapo wadau wa kupiga wezi wametulia wanasoma comment.. unafika unakuta watu wanampiga mtu nawewe bila kuuliza unaamua kumalizia stress zako kwa mwizi bila kujua kaiba kweli au la
Hivi kwanini Kapombe hupenda sana kutumia ishara ya msalaba au si muislamu? ila si vyema kupromote mambo ya kidini kwenye mpira inaweza ikachochea fujo au mgawanyiko maana mpira ni mchezo wa furaha na ni mchezo wa wote labda iwe ni kwa kumshukuru mungu kukufikisha hapo ulipofika otherwise si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.