Nandinii
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 2,573
- 2,808
Na mie ndicho nachohisi, aweza sema apa natoka then akashindwa kutoka. Moyo bhn una matatizo sn asa ukipenda.Nacheka Kama mazuri
Pole Sana Kaka yangu..
Mapenzi yanaweza kukufanya ukawa mjinga..embu jitahidi ujitoe Kwenye Hilo jumba bovu.
Japo utapata shida Sana kutoka,na yawezekana kabisa ukatoka Kwenye huu Uzi ukiwa na nguvu zote kwamba unampiga chini ila ukashangaa kesho ukarudi mwenyewe kuanza kumbembeleza.
Jitahidi kujitoa ,umeshapoteza Muda inatosha,usikubali kuendelea kupoteza Muda zaidi,,weka moyo pembeni na utumie akili,jikaze utoke japo huwa Ni ngumu na utaumia siku za mwanzo
Sent using Jamii Forums mobile app