Inasikitisha sana kwenye TV/Magazeti unakuta wameandika Tehama badala ya TEHAMA, Tamisemi badala ya TAMISEMI kiufupi makosa yapo mengi kwenye uandishi sijui nini tatizo
Hivi uwa wanakaguliwa utendaji wao wa kazi na mamlaka husika?ama wajiendea tu kienyeji maana niliwahi shuhudia wazungu wanafundisha Shule flani ya Sekondari kule Mbeya walikaa kama miezi 2 then wakasepa sikuona wakikaguliwa.Ila jamaa wanajali sana muda
Hizi ndoa zina unafiki sana ni kumuomba Mungu tu, maana mambo ni mengi siyo mchezo iwe mwanaume/mwanamke ni full kusalitiana maana kuna kipindi mnachokana hisia zinapotea kabsa
Hali ya nn kwa mfano? Changamoto kubwa ya handeni ni upatikanaji wa maji ya uhakika mara nyingi maji yasiyokuwa na chumvi ndoo ya lita 20 ni Tshs 500 ambapo yanatokana na visima vya kuvuna maji ya mvua au shs 300 kutoka kwenye mabwawa yaliyochimbwa na Serikali.Ukipata nyumba/chumba mitaa ya...
Inategemea unatarajia kuishi wapi maana kuna Halmashauri mbili kiutawala ambazo ni Halmashauri ya Wilaya na Mji Handeni, Ukiwa Wilaya eneo la Mkata limechangamka kidogo ila Maji ni changamoto na nyumba za kupanga ni shida kidogo kwa upande wa Mji nyumba/vyumba vya kupanga vipo vizuri ukiwa...
Wanapenda sana kuzaa jiandae kulea ukizubaa watoto watapishana Mwaka 1, suala la kamati ya Ufundi wapo vizuri hawaamini mapenzi bila ndumba.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hata Wilaya ya Handeni ina Shule ya kidato cha sita, Shule inaitwa Handeni Sekondari mwanzo ilikuwa O-level tu lakin sasa hivi imeongezewa na A-level kwa boys ina zaidi ya miaka 3
Hii ni kweli kabsa kuna kuna ndugu yangu alikuwa na bint wa kazi yupo strong enough gafla hali yake ikachenji,kumpeleka hospital ugonjwa hauonekani lakini anazid kudhoofika kila kukicha hakuna aliyedhania binti anaweza kuwa na ngoma baada ya miezi ikagundulika alikuwa anatumia ARV toka akiwa...
Ukiwa nje IFM unaweza hukumu sana wanafunzi wa pale kwamba ni mabishoo,masistadu lakini ukweli haupo hivyo nimesoma hapo intake ya kwanza degree 2008/09
mwaka wa 2 ilikuwa balaa sitasahau course kama OOP,Networking,system analysis & design,walimu Koloseni,Otaigo,mohamed aka muarabu wa...
Kuna graduates nilikutana nae kila wiki ananiomba nauli ya kwenda interview nje ya mkoa,nikafuatilia nikagundua ni usanii nilipo onja tunda nikaingia mitini.mizinga ya kila Mara inaboa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.