Recent content by yosh

  1. Y

    Nataka kujiendeleza University of Rwanda

    Ni kawaida kama Tanzania japo hela yao ina thamani sana kuliko ya kwetu.
  2. Y

    Nataka kujiendeleza University of Rwanda

    TCU hawana shida mkuu. University of Rwanda ni chuo kikubwa sana. Na hyo miaka minne sio shida maana wao wanasoma miaka mitatu bila kwenda field then mwaka mwisho wote ndo wanafanya field.
  3. Y

    Hivi kanda ya ziwa wana bifu na Serikali kwenye Elimu ? Chuo cha D.I.T tawi la Mwanza wana kozi za uhandisi wa ngozi, Huku ni kukomoana au ?

    Mkuu shukurani sana kwa observations zako kwa DIT Kampasi ya Mwanza. Mwaka huu wa masomo DIT Campus ya Mwanza zimeanzishwa programmes nyingine mpya ambazo nadhani NACTVET walisahau kuaupdate guidebook yao na kuziorodhesha. Kwa sasa DIT Campus ya Mwanza inatoa course zifuatazo. 1. Leather...
  4. Y

    Nashindwa kuingia kwenye account yangu ya bodi ya mikopo(HESLB)

    Vipi mkuu ulifanikiwa? Maana ata mimi napitia hii changamoto wakati huu
  5. Y

    Tusaidiane kuhusu kozi hizi za Masters za Education

    Ungenyoosha maelezo vizuri mkuu ili tujue nini unataka kujua.
  6. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji3][emoji3][emoji3]Hamna mkuu Mwenyezi Mungu akitupa hyo nafasi tutende haki tu. Mfano mzuri mimi wakati nasoma olevel kuna mwalimu alikuwa ananichukia sana na kunichapa sana kwa sababu zisizoeleweka and by that time alikuwa ni Diploma holder. Baada ya muda aliamua kwenda kujiendeleza...
  7. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    [emoji3][emoji3] usifanye hivo mkuu maana kuwa academician unatakiwa kuwa mlezi pia. Na unatakiwa kutenda haki bila kumuonea mtu. Speaking as the experienced academician.
  8. Y

    Nini kinafanya Sekta ya Ngozi nchini ishindwe kukua kulinganisha na nyingine?

    DIT Kampasi ya mwanza kwa sasa wanatoa wataalamu wa ngozi kwa ufadhiri wa serikali. Karibuni sana.
  9. Y

    Msaada kwa anayefaham technical colleges za serikali & kozi zake kulingana na huo ufaulu

    Muombee course kati ya hizi course mbili utanishkuru badae. 1. Ordinary Diploma in agro bioprocess Technology. 2. Ordinary Diploma in leather Products Technology. Zote zinapatikana DIT Campus ya Mwanza na zote anapata mkopo full kutoka Loan Board.
  10. Y

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Soon to maana mikeka inakuja kama suprise
Back
Top Bottom