Recent content by YOSAYOSA

  1. Y

    Tra oral interview feedback

    Tusubili kitaeleweka tu........sasa huo ndiyo mda wao wakuingiza watu wao wenye lower second na kushuka chini.
  2. Y

    Ninamaliza form six mwezi wa pili,je ninaweza kupata tempo work??

    kama mwalimu wa degree anafundisha shule za kata kama tempo,wewe kulingana na elimu yako kaombe shule ya msingi.
  3. Y

    Nimehangaika kutafuta kazi nimeipata bahati mbaya...

    wewe acha utani kupata kazi ni kazi,ukifika uko wanakupa posho ya siku 7 kulingana na cheo ulicho ajiriwa,mim nimmoja wapo wa watu tuliopangiwa miji ya mbali yaani polini,tulifikia ofisini asubuhi tukatafutiwa chumba cha kujihifadhi kwa siku mbili tatu.Ukichelewa wataweka watu wao alafu ubaki...
  4. Y

    Oral Interview, Dodoma University.

    Tusisahau kumuomba Mungu atusaidie na kujiandaa kama kujua cv yako mwenyewe.
  5. Y

    Tra oral interview feedback

    'whitedent' watu wanasubili jibu,tafadhari tujulishe kinacho endelea isiwe tunasubili mbovu.
  6. Y

    Mwenye kujua nini kinaulizwa kwenye usaili wa mchujo na jamaa wa tume ya ajira

    kwa hawa jamaa lazima uwe umepitia madesa,wako kushule zaidi,ilakikubwa ni kumuomba mungu akutangulie,usihofu kama nafasi yako utapata tu.
  7. Y

    Watu wanapata kazi na sio kazi kupata watu

    Hapo kunahitajika ufafanuzi zaidi,ila uvumilivu katika kutafuta kazi nimuhimu zaidi la sivyo unaweza kufa na presha.
  8. Y

    Kwa hili, secretariet ya ajira Tanzania nimewakubali! Hongera sana!

    Tena sio Zimbabwe ya sasa hivi,itakuwa niyakipindi kile Mgabe anapambana na nchi za wenyewe.Ila hongera na kumbuka kuwatumikia wananchi ambao wanakulipa hela hizo usije ukaanza kuwafanyia viburi kama vile njoo baadaye,kesho...........................
  9. Y

    how to get udom jobs?

    Sisi ambao hatujui njia za mkato tutaendelea kutumia hizihizi,ipo siku Mungu atanyosha na hakuna kukata tamaa mpaka.............
  10. Y

    Shukrani kwa JamiiForums

    Hongera mwanangu,ila usisahau kutuombea na sis kwa mungu tupate. Kama kutatokea nafasi huko tutarifu ........kila laheri
  11. Y

    ANGALIZO: Watainiwa wote wa TANAPA, COASCO, NHIF,T AEC na ZINAZOKUJA

    mbona sijaona majina ya walio itwa,mwenye nayo naomba atupie hapa jf
  12. Y

    Kwanini mmeweka form yangu ya maombi ya SENSA kwenye RECYCLE BIN?

    mungu yu pamoja nasi, mapambano yanaendelea mpakaaaaaa mwisho
  13. Y

    NIT: Walitoa kazi, je walishaita coz SIJAPATA UPDATES

    kuchakachua kama kawa toka kwenye siasa mpaka huku na hata daktari atamchakachua mgonjwa,,eeeee Mungu tusaidie wanao tunateseka
  14. Y

    Manung'uniko kazi sensa

    ukiona hivyo mageuzi yanahitajika haraka iwezekanavyo,tuache kulalamika subili muda ukifika fanya mamuzi sahihi
Back
Top Bottom