miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,694
Kumekuwa na manung'uniko ktk kata yetu ya ndugumbi magomeni juu ya uchaguaji wa makarani wa sensa,Mtendaj wa kata kaweka watu wake na pia watendaji wa ccm!Nchi inakwenda wp?Na baadh ya waliopata hawana sifa nakujitapa mtaani kuwa degree zetu hazijasaidia.