Hongera mkuu, lakini hapo kwenye mshahara 1.8M graduate fresh from chuo ajira hzhz znazopitia utumishi!!!?
Hapo Umetuokota, labda umeiconvert kwa hela ya Zimbabwe
mh hongera lakini sisi tutajuaje kuwa hukutoa rushwa? Kama walioshindwa ndo wangesema haya maneno ningekubali lakini wewe uliyeshinda napata hofu kidgo
Jamani anamaanisha laki moja na elfu themanini labda alikosea kutype
Hapo umenena. nadhani amepata ile nafasi ya office Manager, ubalozi wa Tanzania nchini Zimbabwe. Mke wangu ana zaidi ya miaka mitano serikalini (senior Officer), tena kwenye Agency, ndio kwanza amepata mshahara huo juzi, sembuse aliyetoka shule juzi!!! Jamani acheni uongo kwenye mitandao
Its true jamani hata mie rafiki yangu mmoja amepata kupitia sekretarieti na hamjui mtu , analipwa 1.3 kapata atomic energy comission arusha, sekretarieti wamejitahidi kilichomsaidia HADI AKAPATA NI GPA
YAKE inawezekana mkuu pia amefaulu vizuri