siku hizi nimekuwa kimya tu na kuangalia mambo yanavyojiendea
askofu kaongea kweli ya nini kilichopo moyoni mwa watanzania wengi
kuna chuki kubwa sana ya wanyonge kutwezwa na kudharauliwa na utawala huu wa sasa
wanyonge hawana kimbilio zaidi ya kusubiri matukio kama haya na kujitokeza na...
mheshimiwa
wamama sasa hivi mmekuwa wakorofi sana yaani mno
mifumo yote ya haki duniani miaka ya hivi karibuni imekuwa kwa ajili ya kumlinda mwanamke tu
mwanaume kusikilizwa kwenye mifumo ya haki ni ngumu mno pia mmeanzisha ujambazi wa kumfilisi mwanaume na bila huruma mnarudi tena na panga...
kosa la iran ka mdomo ka kutaka kuifuta israel ndio kosa lilianzia hapo
kabla hajaanza mikakati ya nuke alisemaga atakuja kuifuta israel
umeelewa kwanini haruhusiwi kuwa na nuke
Ulipoingiza tu upumbuvu wa Wapalestina uzi wako umekuwa hauna maana yeyote
Tulishasema Wapalestina wapigwe kwelikweli maana Oct 7, Myahudi hakumchokoza mtu
kwa hiyo wewe unamzidi ufahamu Elon Musk na timu ya washauri wake wote kwamba hawakuangakia mbele nini kitatokea!!!!!?
huna unachokijua juu ya mkakati wa hawa miamba nadhani hata kipindi cha kampeni ulidhani Trump atapigwa chini kwenye uchaguzi
hao ni akili kubwa
2013 niliwahi kufanya kazi shuleni kwake INTEL (Arusha)kule chini Muriet/Mkonoo acha ile ya Sakina kipindi hicho anamalizia malizia kusomea mambo ya uongozi kiujumla huyu sista alikuwa mchapakazi na asiyependa uvivu na uzembe
Muirak wa watu alikuwa muwazi sana na ukizingatia alikuwa na itikadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.