Recent content by Yopinto

  1. Yopinto

    Ni mnyama ama mdudu gani unayemuogopa kuliko wengine?

    Hujakutana na simba ungejinyea, tembo ungejinyea na kujikojolea
  2. Yopinto

    Uchunguzi wangu kuhusu kifo

    Naandaa thread mpya mkuu
  3. Yopinto

    Messi au Ronaldo, leo utatambua mashabiki wa Ronaldo wengi wao hawana akili

    Hakuna hata shabiki mmoja wa Messi Ana mawazo pungufu kama yako
  4. Yopinto

    Messi au Ronaldo, leo utatambua mashabiki wa Ronaldo wengi wao hawana akili

    Wanataka akipewa vin ajumlishiwe Ronaldo 😄
  5. Yopinto

    Messi au Ronaldo, leo utatambua mashabiki wa Ronaldo wengi wao hawana akili

    Nataka kuonyesha kuwa mashabiki wengi wa Ronaldo hawana akili japo sio wote kuna vipengele hapa nitaviweka hapa na utambue kuwa wewe kama utaamini Ronaldo ni bora kuliko Messi basi Huna akili timamu 1. Magoli 900+ sio kigezo cha mchezaji kuwa bora kuliko mwingine lakini hii inaonyesha kwamba...
  6. Yopinto

    SI KWELI Mapovu yanayokuwa kwenye mimea mbalimbali porini au vichakani ni mate ya nyoka

    Sio mate ya nyoka😁😁 Hapo ukiangalia vizuri Kuna kimdudu fulani kipo ndani ikitokea mnyama kamla bila kutafuna na kumuua yule mdudu anauwezo wa kuduplicate kwenye tumbo la mnyama na hivyo mnyama atakonda na kuwa dhaifu, huwa najua wanaitwa ndorobo
  7. Yopinto

    Je, unamjua Louis P Sazia, aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro na mbunge wa Kahama?

    Ee bwana wanyamwezi walikuwa na huyu mzee ambaye kwa sasa ni MarehemU, alikuwa jembe na nusu. Huyu mzee alikuwa awe chief baada ya baba yake Andrea Sazia, lakini uhuru ndipo ulipatikana na hivyo uchief ukawekwa pembeni, huyu mzee alitokea familia ya kitawala huko kwa Wanyamwezi walioshi...
  8. Yopinto

    Tamanio la ME ni kuzifikia Sexual Fantasies zake na KE ni kuzifikia Beauty Fantasies zake. Ili zifanikiwe, kila mmoja atategemea kum-exploit mwenzake.

    Asee hivi vitu vinanitia hasira sana, yani unamlia mwanaume mwenzako demu ake, zamu yako si ishapita mkuu
Back
Top Bottom