Hizi ajira za walimu zinazotoka mtu akipangwa Wizara ya Elimu anaenda kufundisha shule gani?
Kuna dogo yeye hajapangwa halmashauri bali wameandika tu Wizara ya Elimu.
Msaada kwa anayejua.
Hivi wakuu matokeo ya oral huwa yanatoka kwenye akaunti ya mwombaji au inakuaje?
I mean kwa hawa walimu walifanikiwa kuingia oral matokeo yao ya oral watayaonea wapi?
Kuna dogo yupo bush alifika oral ya mojawapo ya somo ndo anaulizia matokeo.
Wakuu naweza kubeti mkeka zaidi ya mmoja unaofanana katika kampuni moja?
Mfano nampa Arsenal ashinde, mkeka wa kwanza naweka 200k, alafu mkeka mwingine naweka 300k?
Wakubwa game ya taifa stars kesho dhidi ya Guinea naona ina odds tamu na zinapanda tu , sahv ni 3.25... nataka nitie 100k, Je mlioitazama hiyo Guinea wapo vzr? sijabahatika kuwaona mechi ya juzi dhidi ya DR Congo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.