Kanda ya ziwa fundi akitoka duarani inabidi akabidhi kazi yake kwa idara ya ukaguzi lasihivyo roller inashushwa chini hakuna kazi kuendelea mpaka waji ridhishe
ufungaji ni muhimu Sana unaweza kuua watu kimasihara kabisa
Ndio maana geita Iko tofauti kidogo na Kanda zingine kwenye uchimbaji Kama chunya maana Kanda ya ziwa lazima watu wa idara ya ukaguzi(inspectors) wapite kila duara na hata Kama wasipopita msimamizi wa duara lazima aandike orodha ya wanaoingia duarani kila siku na muhuri unapigwa na kwenye majina...
Kuna unga unaitwa usembe wanasema ni kiboko ya wachawi Yani ukiweza hata kuweka kwenye maji ya kunywa mchawi akinywa anakata moto Ila sasa sijui ni unga unaotokana na mmea gani
Pia nimewahi kusikia mbaazi ukipanda nyumbani u nafukuza wachawi
Pia wanawake huwa wanaondoka na watoto Kama ngao au kiunganishi Cha mawasiliano na matumizi fulani maana wengi wao huwa wanakua hawana uhakika na wanakoenda akiwa na mtoto anajua hata akisema anaumwa lazima utatuma tu pesa za kuhudumia hata Kama haumwi
Huwa una fuatilia channel inaitwa Discovery ID,Kuna cases nyingi sana unsolved na pia kipindi kinaitwa perfect murder ndani yake,ni channel nzuri Sana na kiukweli watu wanaacha Sana alama na kupelekea kukamatwa kwenye baadhi ya cases
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.