Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,768
- 49,934
Mimi nimebahatika kufika mikoa hiyo yote hapo.kwa mzunguko wa pesa naweza sema hivi
1.Njombe
2.Geita
3.Songwe
4.Manyara
5.Katavi
6.Simiyu
Upo sahihi. Katika hiyo mikoa yote Njombe ndiyo inayoongoza kwa mbali kwa human development.
Kwa takwimu za BOT, Njombe ni mkoa wa 4 kitaifa baada ya Dar, Mbeya na Iringa, kwa GDP per capita, wakati hiyo mingine huwezi kuikuta kwenye top 10.
List of regions by GDP per capita
List of regions by GDP per capita
| Rank | Region | GDP per capita in TSh. /= |
|---|---|---|
| 1 | Dar es Salaam | 4,348,990 |
| 2 | Mbeya Region | 3,506,101 |
| 3 | Iringa Region | 3,360,551 |
| 4 | Njombe Region | 3,317,698 |