Recent content by yokozuna yokohama

  1. yokozuna yokohama

    Kwanini tunawaita watoto wetu majina ya Kizungu/Kiarabu wakati wao hawawaiti watoto wao majina yetu?

    Mbona kuna mwarabu anaitwa mwakabwanga,mwaikenda,ndesamburo,chuwa,ngonyani,kinfunge n.k haya majina niliyakuta muscat.
  2. yokozuna yokohama

    Mkurugenzi wa Safaricom, Sylvia Mulinge ateuliwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania

    Hivi hajaolewa turushe ndoano maana atakuwa na mpunga wakutosha.
  3. yokozuna yokohama

    Uchawi: Hii ndio athari ya kutumia dawa ya kuona wachawi

    Huyo muuza vitafunwa labda alikuwa akicheza sile sinema zetu za pilau.
  4. yokozuna yokohama

    Makabila kumi yenye wanawake wazuri sana Tanzania

    Wahindi na waarabu mbona hawamo?
  5. yokozuna yokohama

    Serikali yatangaza kuzitambua rasmi dawa tano za asili za kuongeza nguvu za kiume

    Yani ukilipakaa ni hataree.Yani masaa 2 unasugua mashine tu.
Back
Top Bottom