Matokeo yamefika qualifications za nacte Ila ttzo ni kwamba Kozi ya CO inaombwa na watu wengi mno na ukilinganisha na matokeo yko unakuta wamekuzidi so kupata ni ngumu....omba nursing dogo vyuo vya kawaida tu usiapply vikubwa vinacompitition kubwa
una matokeo mzur tu lakini kwa ushaur wangu omba nursing vyuo vya serikali vya hadhi ya kawaida tu usiforce kuomba kcmc, bugando,kibaha,sijui muhas achana navyo...Ila upande wa CO ukiapply asee unakosa hili nakuweka wazi kabsa medical lab yenye vyuo si zaid ya 7 tz nzima na pharmacy mtwara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.