Kwa wote walioomba vyuo kupitia Nacte

Kwa wote walioomba vyuo kupitia Nacte

Kinachoangaliwa ni ushindani mkuu....japo umezingumza kitu cha kweli ila iwapo ikatokea waliomba wengi wao hawana vigezo na wewe unavyo na qualification zinazohitajika zipo wanakuchukua lakini atachosoma wa bugando na Muhimbili au chuo chochote ni sawa tu,kitakachowatofautisha ni juhudi za mtu na ndo maana kuna waliosoma vyuo vidogo wakachana na vyuo vikubwa wakala disco
Mkuu kuna vyuo vingine kama ufaulu wako wa mashaka ata bugando usihangaije mfano mtu una physics d chemistry c na biology d utegemee bugando au muhimbili wakudahili mfano capacity ni 100 wanaomba wanafika elfu competition hiyo kubwa mno
 
Kinachoangaliwa ni ushindani mkuu....japo umezingumza kitu cha kweli ila iwapo ikatokea waliomba wengi wao hawana vigezo na wewe unavyo na qualification zinazohitajika zipo wanakuchukua lakini atachosoma wa bugando na Muhimbili au chuo chochote ni sawa tu,kitakachowatofautisha ni juhudi za mtu na ndo maana kuna waliosoma vyuo vidogo wakachana na vyuo vikubwa wakala disco
Ndio mkuu sasa kama unajua ufaulu siyo mzuri unaomba bugando au muhimbili au kcmc sasa hapo lazima upumulie mashine sawa na kucheza biko
 
Ndio mkuu sasa kama unajua ufaulu siyo mzuri unaomba bugando au muhimbili au kcmc sasa hapo lazima upumulie mashine sawa na kucheza biko
Mchuano uliokuwepo kwenye hivyo vyuo na kibaha sio wa kawaida
 
jaman mimi niliomba phamacy lakini link ya kuingia profile hafunguki, kuna yeyote aliye chaguliwa pharmacy anijuze, hapa nilpo nina hofu kweli kuhusu ufaulu wangu nitakuwemo kweli?? math c, bios c, eng c, kisw c, chem d na hist d
 
jaman mimi niliomba phamacy lakini link ya kuingia profile hafunguki, kuna yeyote aliye chaguliwa pharmacy anijuze, hapa nilpo nina hofu kweli kuhusu ufaulu wangu nitakuwemo kweli?? math c, bios c, eng c, kisw c, chem d na hist d
Kuwa na subra na tembelea profile yako mara kwa mara kwa sasa hivi hazifunguki ila unapaswa uwe unajaribu kuangalia kila mara.
 
jaman mimi niliomba phamacy lakini link ya kuingia profile hafunguki, kuna yeyote aliye chaguliwa pharmacy anijuze, hapa nilpo nina hofu kweli kuhusu ufaulu wangu nitakuwemo kweli?? math c, bios c, eng c, kisw c, chem d na hist d
Tembelea tovuti ya nacte kwa sasa inafunguka
 
ushindani ulokuwepo sio wa mchezo nmekosa waliotuma 3518 na walikuwa wanahitajika watu 118 ko nmekosa acha niangalie mwalim nyerere memorial nlituma moja kwa moja chuoni course IT
 
ushindani ulokuwepo sio wa mchezo nmekosa waliotuma 3518 na walikuwa wanahitajika watu 118 ko nmekosa acha niangalie mwalim nyerere memorial nlituma moja kwa moja chuoni course IT
hizo za moja kwa moja vyuoni zinatoka lini?
 
Vipi mwenye kujua upatikanaji wa joining instruction kwa upande wa vyuo vya Afya
 
Joining Instructio pia zimetoka unaweza kuingia kwenye profile yako na ukaidownload.
 
Naomba kuuliza wana JF ! Kati ya Masters in Community economic development (MCED) na Masters in Social work (MSW) ni ipi ni nzuri zaidi kudeal na jamii hususani kwa mtu mwenye msingi wa digrii ya ualimu na anataka kujikita zaidi kwenye jamii? Naomba mchango wenu wadau.
 
Back
Top Bottom