Recent content by Ynamo

  1. Y

    Mpenzi wangu hajawahi kuniomba hela

    kuna sehemu anayo omba huyo si bure,
  2. Y

    Naomba kuelekezwa, nataka kununua Kiwanja

    Habari wanajukwaa. Ninataka kununua kiwanja naomba kuelekezwa ni vitu gani vya msingi kisheria ambavo natakiwa kuvifanya.
  3. Y

    Nina viuvimbe vidogo kama vinundu pemben ya sikio

    jaman hata mie mwanangu anavyo vina muda mrefu kidogo lakini haviumi wala haviwashi,je vinasababishwa na nini
  4. Y

    Msaada tafadhali kuhusu ugonjwa wa (tb)

    apime na kipimo kikubwa pia
  5. Y

    Nataka kuwa na uso soft jamani

    Chinekeee meeee!ewoooo heh!
  6. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    hujakosea mkuu,ni miaka 6
  7. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    sasa bas kwa nini kijana asiweke wazi kulikoni akiulizwa anakuwa na ooh trust me our dreams shall come tru nyiiiiiingi
  8. Y

    Mama mkwe ananing'angania

    huyo mama mkwe nae kilaza ina maana huyo mdogo mtu nae akizingua atataka alipeleke yeye mwenyew sa sijui jamaa atapiga na mama mtu...
  9. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    mkuu Himidini,tatizo jamaa haeleweki sometimes anaonesha matumaini sometimes ndo vile tena ndo mana bint anakuwa hamsomi
  10. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    kama sijakosea ni kuwa watu wakiishi pamoja kama wanandoa kwa muda wa miaka miwili inakua kama ndoa na anaweza kudai haki zake au ikoje mkuu
  11. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    eeh anasubiri si wanasemaga true love waits au ni ka msemo tu?
  12. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    si anaweza kudai na fidia ya kupotezewa muda eeh
  13. Y

    Hivi haya mahusiano ni endelevu au ni utapeli??

    Habarini wandugu,tumsaidie mawazo huyu mwenzetu,yuko kwenye relation kwa almost 6yrs na wana mtoto mmoja wa 2yrs(walimpata wakiwa chuoni) stage waliyofikia ni kujulikana kwa wazazi wa pande zote mbili ila mahari haijatolewa,sasa binti akimuuliza kijana kuhusu further steps kijana anapiga...
  14. Y

    Enyi Tanesco Shinyanga mna matatizo gani?

    Ni siku ya nne sasa umeme wenu umekuwa wa mashaka,dakika 5 upo dakika 2 umekatika. kama kuna mgao mtuweke wazi basi au hata mtuambie tatizo ni nini hasa,sio kuwa vimulimuli mtatuunguzia mali zetu bure na fidia msilipe,. umeme wenyew mwaupandisha bei kila kukicha na bado kuupata mpaka jasho...
Back
Top Bottom