Habarini wandugu,tumsaidie mawazo huyu mwenzetu,yuko kwenye relation kwa almost 6yrs na wana mtoto mmoja wa 2yrs(walimpata wakiwa chuoni) stage waliyofikia ni kujulikana kwa wazazi wa pande zote mbili ila mahari haijatolewa,sasa binti akimuuliza kijana kuhusu further steps kijana anapiga...
Ni siku ya nne sasa umeme wenu umekuwa wa mashaka,dakika 5 upo dakika 2 umekatika.
kama kuna mgao mtuweke wazi basi au hata mtuambie tatizo ni nini hasa,sio kuwa vimulimuli mtatuunguzia mali zetu bure na fidia msilipe,.
umeme wenyew mwaupandisha bei kila kukicha na bado kuupata mpaka jasho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.