Tanesco wanataka kupandisha gharama za Umeme wakati mwananchi wa kawaida yupo hoi kiuchumi!sasa nasema hivi:-vyama vya siasa, NGo's na Taasisi mbalimbali za kutetea Wananchi tunaomba mtuunge mkono KUPINGA ongezeko hilo Tanzania nzima.imekuwa kawaida Kwa serikali kutupandishia kodi visivyo halali...
Ni ushauri tu!Hivi Tanesco kwann msibinafsishe kitengo cha upimaji service line na form za kujiunga Tanesco Kwa ELECTRICAL CONTRACTORS mliowasajili!?Mnawakabidhi form za kujiunga,wanazi sign na kuwapimia wateja na nyinyi(Tanesco)mnahakiki na kufanya malipo ya S/line husika.Hili jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.