Recent content by Yitosha

  1. Y

    JamiiForums Tanzania John Mrema: Mbunge wa viti Maalum, Lucy Magereli anafuatiliwa na Nissan patrol SM 5771

    Hii ni nini ?ufafanuzi tafadhari
  2. Y

    JamiiForums Tanzania Father Titus Amigu: Unaweza kuishia na ndoa ya Facebook na Instagram

    Jackwillpower, Kanisa katoliki linaamini kuwa ujio wa Yesu Kristo ulileta mtazamo mpya , na ndio maana ya kuwa na agano la kale na agano jipya katika biblia takatifu, hata hivyo kuwasiadia tu wasioelewa ufufuko wa Yesu kristo ambao ulikuwa ni siku ya jumapili ulibadili uelekekeo na siku ya...
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Benki Kuu (BoT) yazifutia leseni benki kadhaa. Zimo Efatha Bank na Covenant Bank

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  4. Y

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amefanya jambo kuu zaidi ya Mwalimu Nyerere katika madini

    Ujumbe mzuri
  5. Y

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli amefanya jambo kuu zaidi ya Mwalimu Nyerere katika madini

    Ujumbe mzuri
  6. Y

    JamiiForums Tanzania BACHELOR OF SCIENCE IN SOCIAL PROTECTION,,

    Ni program nzuri tu nashauri ukaisome ,masuala ya hifadhi ya jamii bado yanahitaji wataalamu
  7. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba kufundishwa namna ya Kutongoza Mwanamke

    Good comment
  8. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania KENYA: Dr. Roselyn Akombe’s resignation letter as IEBC Commissioner

    Tunahitaji watu kama huyu mama hapa Africa , ambao wanaweza kuisema kweli na kuisimamia kweli hata kama itagharimu maisha yao, Hakika historia itakukumbuka Dr.Roselyn Akombe na hata vizazi vijavyo vitaikumbuka barua yako , inafaa iwe case study ya kufundishia watoto wetu somo la maadili...
  9. Y

    JamiiForums Tanzania PICHA: Mhe Tundu Lissu akiwa hospitalini Nairobi, Kenya anakoendelea kupata matibabu

    Mungu Mkubwa, yeye hutuwazia mema siku zote za maisha yetu, Ashukuriwe Mungu kwa muujiza huu Mkubwa, get well soon Comrade Lissu!
  10. Y

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Course programme za Social Work!

    Social work ni taaluma nzuri na soko lake linaongezeka siku hadi siku , anaweza kufanya kazi kama Mshauri nasaha katika hospitali na vituo vya afya popte ndani na nje ya nchi. pia anaweza ajiriwa katika miradi mbali mbali ya kijamii katika mashirika yasiyo ya kiserikali au hata akafungua shirika...
  11. Y

    JamiiForums Tanzania Wapinzani acheni upotoshaji, watumishi wa serikali watapandishiwa mishahara

    Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote nchi yangu Tanzania Hata bila mshahara ntakutumikia Tanzania
  12. Y

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wachumba waliokaa miaka 6 bila kugusana wafanya mapenzi hadharani mbele ya wakwe

    Haaa haaaa Amazing !Mpjga picha yuko sahihi kabisa ,sisi tungejuaje kama bado wako wanao oana bila kukutana kimwili karne hii, ?
Back
Top Bottom