Recent content by yilima jerad

  1. Y

    Mbinu za kupata fedha kwa ajili ya utekelezaji wa miradi

    Mfano Mimi katika kitongoji chetu tunahitaji ufadhili tujenge daraja ,naweza kufanyaje nipate ufadhili?
  2. Y

    Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

    Yote heri nimejiandaa kisaikolijiaa kwa mahijibu yote
  3. Y

    Msaada hiki ni kifaa gani nimepewa

    Mr mushi samahani je ndo inayotumika kama external?
  4. Y

    MSAADA WA KUPATA PROGRAM

    Habari want jf, natumaini Nyote mpo poa, naomba msaada wa kuweza kupakua kila program nikitaka kupakua nitumie search engine ipi nikihitaji program kwa kutumia PC
  5. Y

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Duuh! Singida siyo mwenyeji ila naamini wanapatikana, Mi nipo Kasulu ,wasukuma wengi wanao ukienda maporini, jaribu na huko uliko kwenda ambako Wapo naamini utapata.
  6. Y

    Hawa ndo Kuku wa Malawi

    Kuchi chotara asilimia kubw wasukuma wanao, sijajua wewe upo wapi
  7. Y

    Najuta kuwahi kuoa, mke wangu hanivutii tena

    Usione kapendeza ujue wanagharamia , inaonekana uwezo wa kupambanua mambo mdogo, and still akili yako kaka ni ya kitoto
  8. Y

    Aina za miradi ya ujasiriamali

    Miradi iko mingi sana, Mfano Andika juu ya mradi wa Kilimo cha mboga mboga Mtwara ni shida upatikanaji wa mboga Mradi juu ya kulima matunda. Mradi wa kufuga kuku wa kienyeji. Mradi wa kuosha magari Kiufupi fikirieni ni nini ambacho hicho kikundi chenu mnanuwia kufanya? Je kina malengo...
  9. Y

    Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

    Poa kaka kuna jamaa yangu yupo moro ndo aliniambia juzi nilivosoma post yako nikaona isiwe shida nikuulizie
  10. Y

    Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

    Kuna MTU ana kg mia tano nikuunganishe naye? Kama mzigo umeisha?
Back
Top Bottom