Recent content by YETOOO

  1. YETOOO

    Ajali mbaya mabasi matano yagongana

    Picha mbili za mwisho ni ajali iliyotokea siku nyingi chalinze
  2. YETOOO

    Ndoa ya kifahari yafungwa jijini-[Richard Mziray & Cynthia Masasi]

    Hehehehe wewe lazma ni Cynthia...saivi unafananisha benz na boda Boda. ????
  3. YETOOO

    Ndoa ya kifahari yafungwa jijini-[Richard Mziray & Cynthia Masasi]

    Naskia wamechoka balaa siku hizi ni mwendo wa boda Boda wakijitahidi sana bajaj....sijui walikosea nini mahela yote yale yakaisha ghafla
  4. YETOOO

    Dalili ya mvua ni mawingu

    Hata wazee wa zamani walisema 'Kuchapiwa ni siri ya ndaniii'😂
  5. YETOOO

    Nini kina sababisha siku za hedhi kupitiliza kama huna mimba?

    Atakua anatumia njia mojawapo ya uzazi wa mpango...ndio huleta hayo mabadiliko
  6. YETOOO

    ndoa ya binamu yangu iko hatarini msaada tafadhali

    Sasa uhatari wa ndoa yake hapo uko wapi????
  7. YETOOO

    Mweusi kaoa Mweupee

  8. YETOOO

    Natafuta Kiwanja Maeneo ya Boko,Tegeta,Mbweni

    Mkuu kina ukubwa gani hicho kiwanja chako???maana napapenda salasala nataka nijue ukubwa kwanza kabla ya kufunga safari kuja kukiona.
  9. YETOOO

    Mmm, eti Paja na Firigisi Vya Baba. . .

    Mimi binamu yangu mmoja aliachwa baada kumpakulia boyfriend wake kipapatio weeee alijuta...kikwetu kimatako na kichwa cha samaki cha baba mwenye nyumba....sasa mimi na mume wangu inabidi tunawekeana zamu ya kula vichwa vya sato na hicho kimatako cha kuku
  10. YETOOO

    Viwanja vya bei nafuu sana vinauzwa goba

    Hivyo viwanja navitaka sana ila hiyo goba matosa unaingilia mbezi beach samaki au ni wapi,maana kuna goba unaingilia mbezi beach,elezea na useme umbali kutoka barabara kubwa ni km ngapi mkuu nikutafute wend tuanze mchakato
  11. YETOOO

    God's Love Letter to YOU

    What a lovely letter with a very nice message,I just copied and paste in my desktop.Ubarikiwe sana mkuu maana nyuzi za matatizo zilizidi huku.
  12. YETOOO

    Ala Kumbe wanaweza kazi

    Umeona eeeh povu limemtoka utadhani kanywa samasioni,hahahahahaaa kazi ipo.And for sure he missed the point.
  13. YETOOO

    Rangi ipi utakayonipa mimi?

    Mimi nakupa Pink
  14. YETOOO

    Pichani: Mwizi wa bodaboda anatafutwa

    Huyo mtu sura yake ni ya kiwiziwizi kabisaaaa,hizi biashara za kumkabidhi mtu mtaji unaohamishika wote inabidi kuwa makini sana na kumuomba Mungu akupe mtu mwaminifu,dah warombo kwa wizi tu hawajambo,pole nikiona sura kama hiyo hata kama ni kaka yake nakupigia mkuu.
Back
Top Bottom