Recent content by Yelawolf49

  1. Y

    Natafuta shamba Fukayosi, Kiwangwa au maeneo ya jirani

    Ntapata kwa bei gani boss
  2. Y

    Natafuta shamba Fukayosi, Kiwangwa au maeneo ya jirani

    Habari wanajamvi, Natafuta shamba eka 15+ maeneo ya Fukayosi, Kiwangwa na jirani na huko. Requirement liwe linafikika kwa gari hata kipindi cha mvua na pawe na uhakika wa maji ya kuchimba kwa kisima, nina idea ya investment ya muda mrefu ya kilimo na ufugaji, heka bei iwe 200-250k per heka...
  3. Y

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya vyuma chakavu

    Mkuu kwa dar labda nikuulizie mm niko based arusha na moshi
  4. Y

    Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

    Kipo sehem gabi na ukubwa mkuu?
  5. Y

    Natafuta Kiwanja Dar es Salaam

    Wakuu habari za majukumu, Wakuu nauliza kwa Dar naweza pata wapi kiwanja kizuri walau sqm 600 kwa hapa Dar es Salaam kwa bajeti ya 9m mpaka 15?
  6. Y

    Naomba ushauri kuhusu biashara ya vyuma chakavu

    Chalii kama una mpunga walau 7 to 8 unaweza anzaa na chuma pekee achana na ma brass copper etc. hilo la polisi ni ww na nyokaa wako kuwa na msimamo, achana na nyara za serikali kama reli etc. vingine vyote vinazungumizika piga moyo konde anza
  7. Y

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Hapana I didn’t nlishindwa jibu moja
  8. Y

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Best advice nlipewa before oral ni fanya mazoezi ya kuzungumza hata mbele ya kioo spent 2 days doing just that niko moja ya taasisi hot through my first trial, confidence ndo kila kitu.
  9. Y

    Mtaji wa 4.5m unatosha kuanzisha sehemu ya kuchezesha playstation games?

    Wasalam wanajukwaa. Mimi ni muajiriwa nimejichanga nikapata huo mtaji, nilikuwa naomba ushauri na namna ya kuanzisha biashara husiku hasa kwa Dar. Asanteni
  10. Y

    Natafuta kazi, mimi ni software developer/engineer

    Share github account yako meku kama uba project yoyote umefanya
  11. Y

    Msaada kuhusu ulipaji kodi TRA

    Wasalaam ndugu zangu. Hali iliyonikuta ni kuwa nlikua na biashara ndogo nliachiwa uendeshwaji wake kwangu na shule ikawa changamoto ikafa nikahangaika na vitu vingine sasa nataka kufungua biashara mpya napata taarifa kwa watu kuwa itabidi nilipie kodi miaka 4 nlokua nimefunga ile biashara. Je...
  12. Y

    Jamani TAKUKURU, kuita watu 12,377 kwenye usaili kwa nafasi 200 ni sawa?

    Wabongo bwana watu tulienda fanya interview 1400 nafasi moja
  13. Y

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    NHC officer 2 ni ngapi wakuu
Back
Top Bottom