Habari wanajamvi,
Natafuta shamba eka 15+ maeneo ya Fukayosi, Kiwangwa na jirani na huko. Requirement liwe linafikika kwa gari hata kipindi cha mvua na pawe na uhakika wa maji ya kuchimba kwa kisima, nina idea ya investment ya muda mrefu ya kilimo na ufugaji, heka bei iwe 200-250k per heka...
Chalii kama una mpunga walau 7 to 8 unaweza anzaa na chuma pekee achana na ma brass copper etc. hilo la polisi ni ww na nyokaa wako kuwa na msimamo, achana na nyara za serikali kama reli etc. vingine vyote vinazungumizika piga moyo konde anza
Best advice nlipewa before oral ni fanya mazoezi ya kuzungumza hata mbele ya kioo spent 2 days doing just that niko moja ya taasisi hot through my first trial, confidence ndo kila kitu.
Wasalam wanajukwaa. Mimi ni muajiriwa nimejichanga nikapata huo mtaji, nilikuwa naomba ushauri na namna ya kuanzisha biashara husiku hasa kwa Dar. Asanteni
Wasalaam ndugu zangu.
Hali iliyonikuta ni kuwa nlikua na biashara ndogo nliachiwa uendeshwaji wake kwangu na shule ikawa changamoto ikafa nikahangaika na vitu vingine sasa nataka kufungua biashara mpya napata taarifa kwa watu kuwa itabidi nilipie kodi miaka 4 nlokua nimefunga ile biashara. Je...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.