Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

Acha kujipa moyo binti kiziwi, ujue kuna taasisi zinazalisha pesa tena bila kutumia mtaji mfano kama TPA, EWURA, TBS n.k kwanini zisiwamwagie mishahara minono watu wake.
Mishahara ya kawaida sema marupurupu na safari , vikao na madili yapoya kutosha otherwise ofisa mwenye degree anaanza na 1.3-1.6 plus hela ya nyumba lakin nne hapo haijakatwa Kodi na makato mengine na Senior analipwa kama milioni mbili na laki sta sema kuna marupurupu ya nyumba nadhani laki sana pamoja na simu nk.

Hii pesa ya nyumba unalipwa kwa mkupuo mwezi wa Saba hapo ndipo mtu hununua gari mpya, nyumba unamalizia au miradi fulani maana piga kama laki Saba Mara 12 sio haba.

Otherwise pesa ya madili ni ujanja wako tu hakuna maajabu sana msikariri.
 
Mishahara ya kawaida sema marupurupu na safari , vikao na madili yapoya kutosha otherwise ofisa mwenye degree anaanza na 1.3-1.6 plus hela ya nyumba lakin nne hapo haijakatwa Kodi na makato mengine na Senior analipwa kama milioni mbili na laki sta sema kuna marupurupu ya nyumba nadhani laki sana pamoja na simu nk.

Hii pesa ya nyumba unalipwa kwa mkupuo mwezi wa Saba hapo ndipo mtu hununua gari mpya, nyumba unamalizia au miradi fulani maana piga kama laki Saba Mara 12 sio haba.

Otherwise pesa ya madili ni ujanja wako tu hakuna maajabu sana msikariri.
Kwa hiyo kama TAKUKURU wao wanalipaje?
 
Sijajua rate zao kwakweli Ila ukiwa na degree na kuendelea rate nyingi zinakaribiana sana pia inategemea wamekuajiri kwenye hiyo post kulingana na mahitaji ya elimu gani na cheo gani utaanza nacho.
Mfano kwa investigation officer alaf una degree ya uhandisi
 
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake

1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC​
1.8m​
2. TCRA​
3.5m​
4. Ngorongoro​
1.8m​
3. Ewura​
1.8m​
4. WCF​
2.0m​
5. TBS​
1.8m​
5. TANAPA​
1.8m​
5. Tume ya madini​
hawa below 1.5m​
6. Mamlaka ya chakula na dawa​
1.7m​
7. SSRA​
2m​
8. NSSF/PSSSF​
2m​
9. BOT​
1.8m​
9. Bunge​
Hawa below 1m​
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali​
Hawa sijajua​
10. TASAC​
2m​
10. TRA​
2.3m​
11. MSD​
1.8m​
11. TAKUKURU​
Sijajua bado​
11. EGA​
3.07m​
12. NHIF​
1.7m​
13. TPA​
1.6m​
13. TIC​
Sijui bado​
14. KADCO​
hawa below 1.5m​
15. TANESCO​
1.2m​
16. TANROAD​
Sijui bado​
17. TAA​
1.35m​
 
Kwa Ifficer 2 hii ndio gross salary zao in accordance with the row
1. TPDC​
1.8m​
2. TCRA​
3.5m​
4. Ngorongoro​
1.8m​
3. Ewura​
1.8m​
4. WCF​
2.0m​
5. TBS​
1.8m​
5. TANAPA​
1.8m​
5. Tume ya madini​
hawa below 1.5m​
6. Mamlaka ya chakula na dawa​
1.7m​
7. SSRA​
2m​
8. NSSF/PSSSF​
2m​
9. BOT​
1.8m​
9. Bunge​
Hawa below 1m​
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali​
Hawa sijajua​
10. TASAC​
2m​
10. TRA​
2.3m​
11. MSD​
1.8m​
11. TAKUKURU​
Sijajua bado​
11. EGA​
3.07m​
12. NHIF​
1.7m​
13. TPA​
1.6m​
13. TIC​
Sijui bado​
14. KADCO​
hawa below 1.5m​
15. TANESCO​
1.2m​
16. TANROAD​
Sijui bado​
17. TAA​
1.35m​
Kumbe tpdc huwa tunadanganywa tu?
 
Back
Top Bottom