Last_Kingz
Member
- Oct 27, 2019
- 46
- 31
Mkuu vip TTCL?700,000/-
Mkuu vip TTCL?700,000/-
Bora TPA, TRA kuliko hapo jeiwii.
Hayo mashirika ya kiserikali, yana pesa nyingi mno mbali na mishahara. Tazama maafisa wengi wa hayo mashirika, tazama na maafisa ya jeshi kimaisha.
Achana na TANAPA, TRA, TPA n.k
Kuna watu kwa mwezi nje ya mshahara wanakunja mpaka 10m.
Nafikiri PURA ni sawa na EWURA au TPDC kwenye mishahara
Pura kawaidaNafikiri PURA ni sawa na EWURA au TPDC kwenye mishahara
Ivi kati ya TMDA, MSD na TBS wapi wanalipa vizuri kwa entry level ?
DegreeEntry level ya kada gani?
Entry level mwenye degree ni tofauti na entry level mwenye diploma.
Hivi hawa DART inaendaje? Siku hizi naona wana salary scale zaoTCRA-Juniour officer 4.5M.
e-GA-Junior officer 2.8M na fringes benefits za kutosha.
TMDA hawa wana safari nyingi sana.
Hivi hawa DART inaendaje? Siku hizi naona wana salary scale zao
NIDA njaa tupu ile taasisiUmetusahau NIDA
Ni developer. Hiyo baada ya makato? Kuna mtu kaniambia inafika 2m nikaona kama amenipiga kamba. Maana DART kila kukicha wanalalamika kupata hasaraApplication developer nini? Mshahara utakuwa mzuri above 1.5m
MSDIvi kati ya TMDA, MSD na TBS wapi wanalipa vizuri kwa entry level ?
Ni developer. Hiyo baada ya makato? Kuna mtu kaniambia inafika 2m nikaona kama amenipiga kamba. Maana DART kila kukicha wanalalamika kupata hasara
Na wewe amekutafutia kitengo au niitoshe kusema una ndugu mfanyakazi ambaye ni jina kama jina ? TuelezeNin
Nina ndugu zangu na marafiki wanafanya kazi huko
Toa TAKUKURUWakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6. Mamlaka ya chakula na dawa
7. SSRA
8. NSSF/PSSSF
9. BOT
9. Bunge
9. Ofisi ya mkemia mkuu wa serikali
10. TASAC
10. TRA
11. MSD
11. TAKUKURU
11. EGA
12. NHIF
13. TPA
13. TIC
14. KADCO
15. TANESCO
16. TANROAD
17. TAA
Ina maana SIDO hawalipi vizuri? Je halmashauri ya Moshi vijijini?