Nadhani kwenye nchi za dunia ya tatu hilo uliloandika linawezekana!
Lakini sio kwenye nchi za dunia yenye nguvu kama China au Urusi , sidhani kama hizo western media zinaweza kumwambia kitu xi jiping au vladimir putin.
Kama ni kweli basi Hii inadhihirisha ubutu na kupwaya kwa idara yetu ya usalama wa taifa na ujasusi tiss.
Mpaka raia wa kigeni hasiye mtanzania halisi anateuliwa na kupewa uongozi wa juu wa nchi, na idara ya usalama wa taifa ipo na haijui wala haina taarifa nae, hapo kuna shida mahali, na...
Hapa kuna ukweli fulani, japo sio wanawake na wanaume wote!
Kuna wanawake wa Tanga naishi nao hapa, wasambaa, aisee wanaongea kama chiriku hadi kero, na ni wachepukaji hatari, wote ni wake za watu lakini ni hatari, mmoja kasemwa hadi kaamua kuhama mtaa! maana alizidi kuchepuka hadi ikaonekana...
Azam tv ni Izbullah au Hamas??? Azam ni Al Qaida au Taleban??? Azam ni ya Mujahidin au Houth??? Azam ni Al shabab au Boko Haram???
Kweli Nyani haoni Kundule,,,
Mwambie na Said Salim Bakhresa aache udini kwanza??? ndipo uwaambie wakina Joyce Mhavile na Antony Diallo...
Maumivu...
Pascal Mayalla namkubali sana anajielewa na anajua nini anachofanya...!
ila swali langu moja tu kwako mkuu, hivi wewe sio "mtu wa kitengo kweli...?!"
wewe sio "afisa kipenyo kweli...?!"
wewe sio "mtu wa mfumo kweli...?!"
haupo humu kwa "kazi maalum kweli..?!"
kila la heri mkuu Pascal...
Watu kama nyie ni wachache sana katika dunia ya leo! Ni mmoja kati ya mamilioni...! Hawazaliwi kila siku!
Sifa ya watu wenye uelewa mkubwa sana ni kuelewa mambo yasiyo eleweka...!
Lakini ingekuwa kinyume chake huyo mama ndo kampelekea mchungaji laki sita, huyo mchungaji wala hasingeshtuka wala kuhoji bali angedai ni maelekezo kutoka kwa mungu!
Kazi kweli kweli...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.