Ni wakawaida ndiyo maana angekuwa wa ajabu watu wasingekuwa wanamkubali na kumpa heshima wampayo. Ila ujiangalie ww inaweza ukawa si wa kawaida maana haiwezekani wengi wamkubali halafu ww tu na wenzako wachache
Acha mahaba ya ajabu kwa si ukweli kuwa Wema ni malaya? Hapo alipo ana list ya midume kibao iliyokwisha mkaza achilia mbali isiyokuwa na majina. Kumbe tafasiri ya umalaya kwako mpaka aliyetembea na wewe au mzazi wako?
Acha kuwa mgumu wa kuelewa. Ikiwa nyimbo unaweza ku mute na bado ikasikilizika na kuleta maudhui yaliokusudiwa kwenye wimbo husika wata mute sauti ya JD na kupiga wimbo. Na ikiwa ukii mute inapoteza maudhui basi haitapigwa kabisa.
Kwani trace afrika top 10 kuna nini maana mie nilitazama mpaka tisa bahati haikuwa yangu luku ikaniishia yoyote aliyetazama kipindi chote anijuze jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.