John legend napenda sana ule wimbo wake wa show me alio shoot zanzibar yaan napenda lyrics zake ni kama sala anamuuliza Mungu kwanini anaruhusu maangaiko yanayokea maishani
My best songs za huyu mtu ni
1.Wake up Everybody feat Common and The Roots
2. All of Me
3. Green Lights
na kuna ile kashoot vudeo yake ni Zanzibar nadhani A story kumuhusu mtoto ambaye badae atazamia ndege
Ni wakawaida ndiyo maana angekuwa wa ajabu watu wasingekuwa wanamkubali na kumpa heshima wampayo. Ila ujiangalie ww inaweza ukawa si wa kawaida maana haiwezekani wengi wamkubali halafu ww tu na wenzako wachache
John Legend kuna NGO moja anaifund kijiji kimoja kule Urambo Tabora na mara nyingi huenda huko kwa siri. Ni jamaa mmoja muungawana sana na hana makuu. America hutumika sana kuzungumza na kuwatia moyo wanafunzi mashuleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.