Hata wanaume tena ndg hapo ndo balaa me nilimkopesha mjombangu mwaka jana mwezi wa 4,mpaka leo cjapewa hata ten sasa cha ajabu simu yangu hapokei wala sms hajibu,waaminifu wa kulipa madeni hii miaka hawapo kabisa tena ukidai sana anakwambia nenda mahakamani
5million utapata gari usizotaka (vits,stalent,paso au spasho)lakin nyingine nzuri huwezi pata me nina verossa no B,lakini nauza 7mil,iko vizuri sana hata d hazifui dafu
Ndg zangu inabidi tuwe na heshima yaani una family na mke wako bado unatamani binamu wako,unamvamia bafuni unataka penzi, je unaelewa ni mzima kiasi gani ndo maana ukimwi hautaisha kwa tabia hizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.