Recent content by yaika

  1. Y

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    Ni kiasi gani cha pesa kinaitajika mkuu
  2. Y

    Lwandamina ni zaidi ya kocha

    Matokeo ya mpira yana aina tatu,subirini bingwa ni mnyama tu
  3. Y

    Mwanamke hakopeshwi pesa na mwanaume

    Hata wanaume tena ndg hapo ndo balaa me nilimkopesha mjombangu mwaka jana mwezi wa 4,mpaka leo cjapewa hata ten sasa cha ajabu simu yangu hapokei wala sms hajibu,waaminifu wa kulipa madeni hii miaka hawapo kabisa tena ukidai sana anakwambia nenda mahakamani
  4. Y

    Niuzie gari kwa milioni tano

    5million utapata gari usizotaka (vits,stalent,paso au spasho)lakin nyingine nzuri huwezi pata me nina verossa no B,lakini nauza 7mil,iko vizuri sana hata d hazifui dafu
  5. Y

    Huyu binti kanidhalilisha mno! I will revenge

    Ndg zangu inabidi tuwe na heshima yaani una family na mke wako bado unatamani binamu wako,unamvamia bafuni unataka penzi, je unaelewa ni mzima kiasi gani ndo maana ukimwi hautaisha kwa tabia hizi
  6. Y

    Breaking News.........

    Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
  7. Y

    Breaking News.........

    Kweli bangi hajawai kumwacha mtu salama
  8. Y

    Samani za Ikulu zinanipa utata kidogo

    Tatizo hawajatoka nje ya afrika wenzetu hawana mambo ya kuremba
  9. Y

    Samani za Ikulu zinanipa utata kidogo

    Mbona nzuri wenzetu nje wanapenda uwalisia tena na maganda yaonekane
  10. Y

    Kwa hili watu wa Kaskazini wanaongoza kwa population Dar

    Wewe unayeongea ulishafika bukoba,acheni kudharau watu msiowajua
  11. Y

    NHC imemteua Ndg. Felix Manyama Maagi kuwa Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo

    Majina mengine maingu,nyamkubi,nyambofu
  12. Y

    Naombeni ushauri nahisi nilijidanganya kwa huyu Binti

    Pole sana muombe mungu akuonyeshe ubavu wako,
  13. Y

    Kwa mliotembelea dunia: Hivi kuna nchi yenye traffic police wengi barabarani kama Tanzania?

    Kweli mkuu trafi 0 C wanakera anaweza kukusimamisha sehemu ambayo haifai kabisa
  14. Y

    Zitto Kabwe: Njia nane(8) za kuwa Dikteta

    Mmmmh hatari
Back
Top Bottom