Recent content by yadodo

  1. yadodo

    Serikali kuhakiki tena upya watumishi kwa mfumo wa kielektroniki

    Mwendokasi[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji121]
  2. yadodo

    Nilivyomuelewa Kasim Majaliwa in relation to Walimu wa Arts.

    Kuna shule moja iko BUKOMBE ina walimu 78 wote ni wa art na sayansi wako wa wili tu tena wakujitolea
  3. yadodo

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Hata Mimi nmesikia tarehe 14 mwezi huu
  4. yadodo

    Je TAMISEMI wamesitisha Uhamisho?

    Hawajasitisha mkuu
  5. yadodo

    Ujenzi wa flyover ya TAZARA mbioni kuanza wakati wowote!

    Naona mnaiombea mema Kweli tz, kama kilomita 3 za flyover ya TAZARA ni bilioni 100 jee hapo ni itagharimu shilling ngap?
  6. yadodo

    Balozi Dr. Dau (PhD), mtumishi wa kupigiwa mfano

    Huu Uzi wenyewe jipu! Sidhani kama jamaa huwa anafuatiliaga mambo ya nchi hii
  7. yadodo

    Madaktari wa Mwanza wanaipima Serikali?

    Mtoa post akili yake fupi na hata IQ yake ni ndogo sana
  8. yadodo

    Wafanyakazi wa hospital ya Butimba Nyamagana wagoma

    Hivi nani Alisha sema daktari ndio anayeponesha wagonjwa ? Au ni ufinyu wa kufikiri tu , kifo anayekiratibu ni Mungu daktari anajitahidi tu kama kijaribu kubatilisha ila sio kuponesha kama daktari angekuwa anaponesha watu wote wanaoenda nje kutibiwa wasingekuwa wanakufa! I hate politics in...
  9. yadodo

    Kabla hujanunua Azam TV pitia hapa; Usije kujuta

    Hawa jamaa ni jipu ambalo halina mtumbuaji Mimi natumia AZAM TV tangu mwaka Jana lakini sina hamu nayo natamani sana hata nipate mteja nimuuzie imenichosha sana! Yaani wezi mpaka wanaboa huduma mbovu matangazo yao ni tofauti na huduma vifurushi vingi mno Mara lipia 6000 upate hiki, ongezea tena...
  10. yadodo

    Ubinafsi wa Mnyika: Atumia Pesa Yote ya Mkopo wa Gari Kufanya Uwekezaji DSE

    Kwani wewe mtoa post umemchunguza ukaona kwamba hela hiyo ndio ya mkopo? Acha unazi
  11. yadodo

    Rais Magufuli akutana na Mzee Mkapa!

    Bado siku kadhaa ataenda msoga tena
Back
Top Bottom