Hivi nani Alisha sema daktari ndio anayeponesha wagonjwa ? Au ni ufinyu wa kufikiri tu , kifo anayekiratibu ni Mungu daktari anajitahidi tu kama kijaribu kubatilisha ila sio kuponesha kama daktari angekuwa anaponesha watu wote wanaoenda nje kutibiwa wasingekuwa wanakufa! I hate politics in...
Hawa jamaa ni jipu ambalo halina mtumbuaji Mimi natumia AZAM TV tangu mwaka Jana lakini sina hamu nayo natamani sana hata nipate mteja nimuuzie imenichosha sana! Yaani wezi mpaka wanaboa huduma mbovu matangazo yao ni tofauti na huduma vifurushi vingi mno Mara lipia 6000 upate hiki, ongezea tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.