kama unataka majani ya mlonge nitext private...
Yanatibu magonjwa mengi..
mie binafsii nimechuma na nimeanika hii wikii pili ila ni uvivu tu kutwaga ila kukauka ni wiki moja na siku na nimeanika ndani hautakiiwii kuanika nje unaua nguvu.
kama unataka majani ni inbox[emoji383]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.