sawa mkuu lkn ni wiki ya 2 ss na vingine vimeshakauka bdo km 2 havjakauka freshKuna haraka gani ya kufanya mapenzi ukiwa mgonjwa?
Ndiyo utachelewa kupona na hatimae vidonda kujaa usaa kwa muda mrefu...
Cc: mahondaw
viko mguuni mkuu, na sio vikubwa kiivyomkuu kuna uwezekano mkubwa sana wakuoata magonjwa ya zinaa kama vidonda hicyo vitakua sehemu za siri
hata kama havutakua sehem za siri ikiwa mmoja wenu ni muathirika na ana vidonda ambavyo bado haviko hali nzuri namanisha kukauka,na mwengine ana michubuko akigusana na vidonda vile upo uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa
my take: subirini mpone vidonda vikauke kisha fanyeni as much as you can
unajua kunjunja ni hitaji la muhimu sna kwetu sie mkuu,
unajua kunjunja ni hitaji la muhimu sna kwetu sie mkuu,