Huwa nashangaa watu wengine wanaweza vipi kutembea barabarani/njiani wakiwa wanapiga mziki kwenye simu zao tena Kwa sauti kubwa mi siwezi
Mtu yupo ndani ya gari la abiria anapiga mziki kwenye simu yake tena Kwa sauti kubwa au akipigiwa simu anaweka loudspeaker anaongea jamani[emoji849].
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.