Recent content by Y2z

  1. Y

    Aina gani ya nyanya inafaa kulima msimu wa masika?

    Uliza changamoto Kwanza ukisha zijua fuatilia mavuno, jamaa alikwambia kapiga 22m kwa ekari utakurupuka hata kwa kukopa halafu unakutana na kantangaze anakupa uja wepesi na unazaa sifuri ogopa sana, nakushauri uzijue changamoto kabla ya kujua mavuno.
  2. Y

    Shinyanga: Mume amuua Mkewe akimtuhumu kutumia ARV kwa siri

    Ungemwambia mh. mungu Magufuli hayo unayoyasema sasa hivi yanayotokea yasingewakuta, mlichekelea mkafurahii, ukipanda mang'ong'osa ndiyo utakayovuna.
  3. Y

    Basi gani linafika mapema kwa safari ya Dar es Salaam - Mwanza

    Ongea vizuri na Bibi yako unaweza fika mapema kabla ya space X ya Elon Musk
  4. Y

    Askari Polisi wa Dar aliyetajwa na Rais Samia arejeshwe ili kudhibiti ujambazi ni nani?

    Hawa wanao tahiriwa sasa hivi kwa msaada wa USA?
  5. Y

    Spika Ndugai: Lissu kwa miaka 10 ya Ubunge hakuna 'legacy' yoyote aliyoacha Jimboni kwake

    Nakumbuka kuna kijana alipiga picha choo cha zahanati fulani huko Kongwa kilichokuwa na hali mbaya kiasi kwamba hata mende waliishi humo kwa machale na hata kama umebanwa kiasi gani ukiambiwa jisaidie humo haja inayeyuka. Lakini kilikuwa kinatumiwa na wagonjwa wa zahanati husika yaliyomkuta...
  6. Y

    Yuko wapi Peter Lijualikali aliyekuwa Mbunge wa Kilombero?

    Kati ya watu wapumbavu duniani huyu yumo kwenye topten
  7. Y

    Je, ni kweli mademu walio mbali na wenzi wao huchepuka maofisini?

    Mimi ni mtumishi nipo halmashauri ni ukweli usiopingika kwamba ndoa ambazo zipo geographically separated zina hali mbaya Sana kiuhalisia si wanaume si wanawake ni mwendo wa kupakuwa na kupakuliwa, yupo jamaa yangu amewapakuwa karibu 11 humu ofisini na Kati yao 5 ni wake za walio mbali. Kama mtu...
  8. Y

    Viongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana

    Kuna timu inajitahidi Sana kutuaminisha kwamba lile shetani linaloungua huko motoni jehanam lilikuwa malaika, nadha haya ni yale mamisukule yaliyoporwa ubongo yakaachiwa matikiti.
  9. Y

    Viongozi wanaolinda na kutetea rasilimali za mataifa yao maisha yao huwa mafupi sana

    Wewe mjinga Baba ako shenzi kabisa wewe
  10. Y

    Baada ya Magufuli, TANESCO wanaanza kata kata ya umeme

    Kwakweli JPM alijitahidi Sana kutengeneza mabumunda na zero brains za kutosha including mleta mada, kwamba wakati wa jpm umeme haukukatika! Jitu linabwatuka kwamba umeme ulikuwa haukatiki kisa biti za mwenda zake as if unaowaambia huu utopolo hawakuwepo tz! Shindwa na ulegee kama huyu jamaa...
  11. Y

    Awamu ya Mama Samia Suluhu Hassan itakuwa kama ya Mzee Ruksa

    Kwa hiyo ili pesa iingie kwenye mzunguko hadi ufisadi uwepo? pumbavu kama hili Bora dingi yake angeota ndoto ya unyevu akalibamiza kwenye taulo
  12. Y

    Shocking revelation: wateja wakubwa wa sex toys ni wababa

    Sasa wenzio wakimaliza kukata gogo wanaishia kupiga msele na matako kwenye mwamba, kokoto, Moram, barabara ya vumbi etc
Back
Top Bottom