Uliza changamoto Kwanza ukisha zijua fuatilia mavuno, jamaa alikwambia kapiga 22m kwa ekari utakurupuka hata kwa kukopa halafu unakutana na kantangaze anakupa uja wepesi na unazaa sifuri ogopa sana, nakushauri uzijue changamoto kabla ya kujua mavuno.
Nakumbuka kuna kijana alipiga picha choo cha zahanati fulani huko Kongwa kilichokuwa na hali mbaya kiasi kwamba hata mende waliishi humo kwa machale na hata kama umebanwa kiasi gani ukiambiwa jisaidie humo haja inayeyuka.
Lakini kilikuwa kinatumiwa na wagonjwa wa zahanati husika yaliyomkuta...
Mimi ni mtumishi nipo halmashauri ni ukweli usiopingika kwamba ndoa ambazo zipo geographically separated zina hali mbaya Sana kiuhalisia si wanaume si wanawake ni mwendo wa kupakuwa na kupakuliwa, yupo jamaa yangu amewapakuwa karibu 11 humu ofisini na Kati yao 5 ni wake za walio mbali.
Kama mtu...
Kuna timu inajitahidi Sana kutuaminisha kwamba lile shetani linaloungua huko motoni jehanam lilikuwa malaika, nadha haya ni yale mamisukule yaliyoporwa ubongo yakaachiwa matikiti.
Kwakweli JPM alijitahidi Sana kutengeneza mabumunda na zero brains za kutosha including mleta mada, kwamba wakati wa jpm umeme haukukatika! Jitu linabwatuka kwamba umeme ulikuwa haukatiki kisa biti za mwenda zake as if unaowaambia huu utopolo hawakuwepo tz! Shindwa na ulegee kama huyu jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.