Recent content by XZIMU

  1. XZIMU

    Historia ya Mkwawa na Uhehe

    MKAWA MJARUMANO
  2. XZIMU

    Nitajibu swali lolote linalohusu ujenzi kasoro neno bei gani. Technical tu

    Mkuu unaweza kunifahamisha ujenzi wa Banda la kufugia ng'ombe atleast watanoZuri na la kisasa na gharama zake
  3. XZIMU

    Lini wasiokunywa pombe wataheshimiwa bar?

    😂 😂 na warembo wengi wanapenda bia
  4. XZIMU

    Lini wasiokunywa pombe wataheshimiwa bar?

    Sawa profesa Janabi
  5. XZIMU

    Lini wasiokunywa pombe wataheshimiwa bar?

    Alichosema mtoa mada Kuna ukweli Kuna baa moja Moshi mjini Iko karibu na stendi (jina kampuni), wahudumu wanakupokea kwa bashasha, ila ukiagiza soda ni kama mzuka unawaishia wanachelewa kukuhudumia na ukimaliza tu chap washafuta na meza na kutoa chupa ni kama wanakudharau 😂 ila wanywaji...
  6. XZIMU

    Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Mwingine kichwa panzi huyu hapa, Morocco ni African country kwa sababu nchi yao ipo bara la Africa.
  7. XZIMU

    Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Anashabikia watu ambao hawataki kuitwa waafrika, pili mpira wao ilikuwa wa janja janja Sana tulikuwa kama tunawaabudu na la mwisho kiwango Cha waarabu ni Cha kawaida, wametuzidi kwa baadhi ya mchezaji mmoja mmoja
  8. XZIMU

    Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Kweli nimeamini mleta mada ni chizi, huyu hata hamna haja ya kuchangia huu Uzi.
  9. XZIMU

    PreGE2025 2025 kuna uwezekano Paul Makonda akachukua fomu ya Urais. Ndipo Rais Samia ataijua vizuri rangi ya Paul Makonda

    Mambo hayaendi hivo, CCM ina mbinu nyingi kuliko unavyofikiria, pengine anaweza kutumika ku divert attention za wapinzani bila nyie kujua
  10. XZIMU

    Sijui tunaelekea wapi asee!

    Siku hizi mapenzi bila pesa kidogo ni ubatili mtupu, utakuwa unasaidiwa bila kujua
  11. XZIMU

    TANESCO: Watu kukaa nyumbani kipindi cha likizo chanzo cha umeme kuisha haraka

    Kumbe ni kila mahali, ila wametoa majibu mepesi Sana kutakuwa Kuna tatizo lazima
  12. XZIMU

    Nimefanikiwa kufanya kazi na Mzungu hiki ndicho nlikibaini kutoka kwao

    Nimefanya Kazi yangu ya kwanza na kampuni kutoka nje kipindi Cha COVID-19, Supervisor alikuwa mu Israel mambo yalikuwa powa Sana, akaja mwingine kutoka Sweden alikuwa anabana Sana pesa Sasa hivi kahamishiwa Nairobi, tuliyenaye sa hivi anatoka Spain Hana tofauti na yule wa Israel...
  13. XZIMU

    Rais Samia: Wazanzibari ni wazuri wa sura, roho na wakarimu sana sio kama watu wa mataifa mengine

    😂 Kuna jamaa angu mwingine alikuwa dereva wa TCC huko aliteseka, gambe bei Gali, uzuri alikuwa anabeba nyagi kwenye gari...tukiingia sehemu za starehe ni kulamba lamba tu bia kidogo..then tunaenda kujibust kwenye gari lake
Back
Top Bottom