Nawasalimu wote,
Tunazalisha na kufuga samaki aina ya Sato na Kambale.
Vifaranga wanapatikana kwa bei ya Tsh 250 tu..
Ukichukua zaidi ya 1000 bei inapungua..
Tunapatikana Pwani Kibaha ,ila tunao uwezo wa kukusafirishia popote.
Karibu inbox tuyajenge...
Asante
Kibaya ni kwamba Malawi wanaweza kuwainfluence Zambia na DRC wakapate alternative route ya KUFIKA bandarini, wakatoa ghrama ndogo na incentives zingine.. Pia ukumbuke Za ni mwekezaji mkubwa sana DRC, Ana influence kubwa kwa Tshisekedi(rejea mgogoro wa sasa wa M23, DRC, Za na Rwanda) ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.