Kila jimbo lina mamlaka kamili chini ya Askofu wake. Kwa hiyo Mwadhama Rugambwa hana mamlaka yoyote nje ya jimbo lake. Hadhi yake ya ukadinali ni kwenye kumchagua papa ama yeye kuchaguliwa, hamna cha ziada. Papa atashauriwa na makadinali na maaskofu wa "Curia".
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.